Kwetu Ngoreme
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 489
- 189
Kila Siku wanausalama barabarani wanatueleza kua ajali nyingi husabishwa na mwendo kasi barabarani,
na wanasisitiza mwendo kasi unaua na mpaka wakaleta speed governer.
Cha Ajabu mradi wa kujenga barabara za mwendo kasi ndo zimepamba moto,wanataka tufe au?
Hizi barabara mimi naona zimekosewa sana.
1. Stand au vituo vya mabasi vimejengwa katikati ya barabara, Hii itakuwa shida sana kwa wazee , wanafunzi na waremavu kuvuka barabara ili kupanda basi. So ajali zitaongezeka.
2. Barabara ya mwendo kasi ipo moja tu ya kwenda na moja ya kurudi, so kama gari moja likiharibika magari mengine yote hayataweza kuendelea na safari.