Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,201
Kila Siku wanausalama barabarani wanatueleza kua ajali nyingi husabishwa na mwendo kasi barabarani,
na wanasisitiza mwendo kasi unaua na mpaka wakaleta speed governer.
Cha Ajabu mradi wa kujenga barabara za mwendo kasi ndo zimepamba moto,wanataka tufe au?
na wanasisitiza mwendo kasi unaua na mpaka wakaleta speed governer.
Cha Ajabu mradi wa kujenga barabara za mwendo kasi ndo zimepamba moto,wanataka tufe au?