Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,819
- 40,600
Daah.... Yule mshenzi sijui alishakufa...!!
Kashanioa na tuna watoto tayari
Duhhh huyu ndo alinifanya niwe mtumwa wa chaputa kipind kile tukimaliza kuongea najilipua kimoja na picha yake mamaeee walai
Sisi tulishapita huko bana..Ila ya mimi na wewe sio ujinga?
Wakorintho1 13:4-7[emoji4]Nipe mbinu zenu
Sawa mkorintho [emoji2]Wakorintho1 13:4-7[emoji4]
Maana yake mmezakiwa awamu ya nne, mnakomenti fesibuku[emoji4][emoji4]Sisi ambao hatukuwahi kutumia Buzz ni bomba tunacomment wapi?
Hahahaaaaa mi nilikuwa na line ya Tritel then nikahamia Voda.Maana yake mmezakiwa awamu ya nne, mnakomenti fesibuku[emoji4][emoji4]
Voda mwaka fulani walikuwa nayoHahahaaaaa mi nilikuwa na line ya Tritel then nikahamia Voda.
Huyo ni mpuuzi kama wapuuzi wengine. Anastahili kupuuzwa.Yupo tuliachana baada kwa tuhuma kuwa mm ni Malaya,imepita miaka mitatu bila mawasiliano wala kuonana ,,nashangaa kuona sms yake,ikisema ,,,,Yaani wewe,
Nimeshindwa kukusamehe na pia nimeshindwa kuingia katika mahusiano mapya kwa kuwa simuamini tena mwanaume, pia naogopa hata kwenda kupima maana sijui kama uliniacha salaama,,
Kiukweli hata sikuelewa alilenga nini zaidi ya kutomjibu
Naam nami pia nilimpuuza tuHuyo ni mpuuzi kama wapuuzi wengine. Anastahili kupuuzwa.
Nipo naye hapa pembeni yangu
Ngoja siku mwanao atakapo fannywa kiporo ndo utajuwa ubaya unao mfanyiya mtoto wawatuIli umfanye nini hicho ni kiporo changu hakichachi walau nikihitaji napewa