Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,424
- 8,045
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtafut JF
Mtafut JF
ulikuwaga unaongea na mto?Nipo naye hapa pembeni yangu
😂😂😂😂Hii ss ilikua n hatarMpaka azana naisikia, ila leo sijui yuko wapi kama amekufa au yupo hai hata sijui tena
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]mbavu zanguulikuwaga unaongea na mto?
tatzo wewe ni baba askofuNilitoboaga mpaka majogoo naongea na mchumba leo hataki kunisikia sijui nilkoseaga wapi mimi
Sijawahi fanya ujinga huoYule mpenzi wako ambaye ulikuwa unaongea naye Kwa sim hadi sa nane usiku till betri la sim lanahit hadi linataka kuripuka yupo wapi ???
Sijawahi fanya ujinga huo
Mm alipata kazi kabla yangu akapeperuka badaye akataka kurudi nikapotezea saivi tunapasha viporo tu
Kuna njemba ilitokea Makelele University ikambeba, nilibaki nimeduwaa tu.
Mungu amtangulie katika maisha yao.
😂😂😂😂😂😂Nipo naye hapa pembeni yangu
Shikamo naomba hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenza nakusabahi.
Marahabaaa!!! Njoo uchukue.Shikamo naomba hela
NitumieMarahabaaa!!! Njoo uchukue.