Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,256
- 2,862
- Thread starter
- #21
Kwanini sasa?yana nguvu kumshinda Mungu?Hata maka kila mwaka wanampopoa mawe shetani ilaha hafi wanakufa wao View attachment 853420
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini sasa?yana nguvu kumshinda Mungu?Hata maka kila mwaka wanampopoa mawe shetani ilaha hafi wanakufa wao View attachment 853420
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hawaoni wanasogeza tatizo badala ya kumaliza tatizo?suluhisho ni kuyaua kabisa.hahaha yafe? mk nadhan wanaombea watu ili yatoke jukumu la kufisha kiimani najua unafahamu lipo kwa nani.
Mungu HASHINDWI NA CHOCHOTEKwanini sasa?yana nguvu kumshinda Mungu?
Mkuu nna silaha hapa yakipostiwa utanijuza niyaangamize kabisa.Hebu weka picha yao ili tuone namna yalivyo tuweze kuyaangamiza
kuyachamba hadi yafe? wazaramo wangeshakufa wote kwa kuchambana!!!Huwa yana kwao?kama ndivyo iweje yaje yajazane kwa binadamu hadi kufikia hatua ya kuaibishwa na kudhalilishwa kwa kutimuliwa na watu wa Mungu?je yakishamtoka mtu huwa yanaenda wapi?ama ni kweli kwamba huwa yanajificha kwenye kona za nyumba za ibada na kuwavagaa wengine?na kwanini watu wa Mungu waishie kuwafukuza badala ya kuyakemea,kuyasema na kuyachamba hadi yafe kabisa?
Wewe
Kwa hiyo hawa washkaji wamekufa si ndio?Hata maka kila mwaka wanampopoa mawe shetani ilaha hafi wanakufa wao View attachment 853420
Sent using Jamii Forums mobile app
Haliko tokaHuwa yana kwao?kama ndivyo iweje yaje yajazane kwa binadamu hadi kufikia hatua ya kuaibishwa na kudhalilishwa kwa kutimuliwa na watu wa Mungu?je yakishamtoka mtu huwa yanaenda wapi?ama ni kweli kwamba huwa yanajificha kwenye kona za nyumba za ibada na kuwavagaa wengine?na kwanini watu wa Mungu waishie kuwafukuza badala ya kuyakemea,kuyasema na kuyachamba hadi yafe kabisa?
Wapi mkuu?
Daah pepo gani tena mkuu?Mwenye lile pepo linalopendwa naomba anirushie!