- Thread starter
- #21
yule msanii sana...maisha ya mjini ni
Kazi NA sara
Kama id yako kama hutaki kamuulize gwajiboy atakupa siri ya mchezo!
Nadanganya wadau?
Anajua kucheza na ngoma vzr sana,kila mtu anapambania mkate.
Nitafanya nae interview
yule msanii sana...maisha ya mjini ni
Kazi NA sara
Kama id yako kama hutaki kamuulize gwajiboy atakupa siri ya mchezo!
Nadanganya wadau?
Watanifungulia kesi wahuni hawa.Wakati mwingine vaa ujasiri, waulize
Mimi nina anko wangu mhuni kweli, enzi hizo kuna Motor vehicle licence imechachamaa.kwamba wengine ni walinzi mchana stori nyingi usiku wanapotea basi nimeanza kukuelewa Mkuu,kumbe kila mtu ana mishe zake.
Kumbe kila mtu ana muda wake wa kuteseka
Mimi nina anko wangu mhuni kwepi, enzi hizo kuna Motor vehicle licence imechachamaa.
Basi alikuwa na hiace lake lina madeni, analiendesha usiku tu
Analiamsha saa 10 mpaka saa12 asubuhi, mchana stori anasubiria tena saa 1 usiku
Usiyasumbukie maisha Sana ndugu... Kuwa na moyo wa Shukrani na kuridhika.. Kuwa mwenye furaha, mpole na mvumilivu.. Milango yote itafunguka.kiukweli hawajawahi.. na sitarajii
Ila Mkuu huo mkwanja wanautoa wapi? Isije ikawa nguvu za giza zinahusika.
Mtu anatoka asubuhi kwenda kijiweni jioni anarudi na mahitaji yote ya familia + mkate juu.
Hao wapo wengi sana hasa Dar es salaam, na hata Mimi nishawahi jiuliza sana nikaachana nao tu pasipokupata jibukiukweli hawajawahi.. na sitarajii
Ila Mkuu huo mkwanja wanautoa wapi? Isije ikawa nguvu za giza zinahusika.
Mtu anatoka asubuhi kwenda kijiweni jioni anarudi na mahitaji yote ya familia + mkate juu.
Madalali haoHahaha kweli kweli..au wapiga debe wa vituoni.
Ila Mkuu kwa idadi niliyoiona nahisi sio wote wenye hizo nyumba changanya na vijana juu niliowashuhudia.
yaan jamaa hana mishe yoyote anapiga patrol tuu ikifika jioni anarudi na mahitaji ya home..bado haingii akilini
Wote hatuwezi teseka saresare. Wewe teseka kivyako, yule ateseke kivyake, wao wateseke kivyao. Usitafute kufanana.kwamba wengine ni walinzi mchana stori nyingi usiku wanapotea basi nimeanza kukuelewa Mkuu,kumbe kila mtu ana mishe zake.
Kumbe kila mtu ana muda wake wa kuteseka
Shukrani Mkuu..Usiyasumbukie maisha Sana ndugu... Kuwa na moyo wa Shukrani na kuridhika.. Kuwa mwenye furaha, mpole na mvumilivu.. Milango yote itafunguka.
Ukiweka tamaa ndio shida inapo anzia hapo sasa... Ndio giza hilo unalozungumzia mkuu. Jichanganye upate maarifa.
Hakika Boss..Hao wapo wengi sana hasa Dar es salaam, na hata Mimi nishawahi jiuliza sana nikaachana nao tu pasipokupata jibu
...Cha kufurahisha wazee wa mjini maisha yao mwake sana utakuta ni mzee ila anaishi kwao nyumba ya urithi....
View attachment 1762728
Basi sawa MkuuWote hatuwezi teseka saresare. Wewe teseka kivyako, yule ateseke kivyake, wao wateseke kivyao. Usitafute kufanana.
Kuna kamsemo ka wananzengo "kila mtu ashinde mechi zake".