Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Hahah mtiti wa kutumwa wakati ulizoea kujituma mwenyewe sio mwepesi. Ogopa sana hii situation. Najua humu tupo wengi sana tufanye tu turudi tena kule kule uzuri awamu hii tuna full experience hatutarudia tena mistake. Fala tu ndie anaweza gongwa na nyoka tundu lile lile.