Tunatamani lakini sisi tunavitu vyetu. Mfano mavazi, rangi ya mtu, nywele, makalioLike unatembea unaona watoto wazuri wazuri and you picture them naked/ bedding them? Na wao wako hivyo? Nauliza sababu rate ya wanaume kufanya hivyo ni kubwa

Mmh kwani nanyie mnaagalia wowowo la wanawake wenzenu?Tunatamani lakini sisi tunavitu vyetu. Mfano mavazi, rangi ya mtu, nywele, makalio
Ko sisi tunatamaniana cc kwa cc na nimarachache sana tunatamani mwanaume.
Mara moja moja sana.
Hatutamani mwanaume kingono Kama nyie..sisi tunavutiwa tu na phyical apearance tena mara nyingi mnoo hasa ulienae akiwa wa kawaida.Like unatembea unaona watoto wazuri wazuri and you picture them naked/ bedding them? Na wao wako hivyo? Nauliza sababu rate ya wanaume kufanya hivyo ni kubwa
unawaza atakua sio kitombi uyu.Tunatamani vicoba tu
Kumbe ndo mnavyo wazagHatutamani mwanaume kingono Kama nyie..sisi tunavutiwa tu na phyical apearance tena mara nyingi mnoo hasa ulienae akiwa wa kawaida.
Unakutana na mkaka road yuko vzuri balaa yaan anavutia smart ananukia afu yuko busy haonyeshi shobo..unakuta mmekaa siti moja labda kwa gari haangaiki kukusumb ua basi unazidi vutiwa nae Mana unajijua pisi ila jamaa hana habari nawwunawaza atakua sio kitombi uyu.


hku sis tunawaza akijichangany huyu anachooLakini sii ndio vinawatoa rohoTunatamani vicoba tu
Hata nyie mnatoa roho piaLakini sii ndio vinawatoa roho
Tunawatoaje roho jamaniHaya nyie mnatoa roho pia
Acha vituue, hakuna siku tamu Kama ya kuvunja kikoba.....utamu wake unasahau Kama Una mume🤣Lakini sii ndio vinawatoa roho
Comment bora zaidi kuwahi kutokea jamii forumAnaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume
C&P
Maneno mazito sana hayaAnaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso.Ndiyo maana wanaume wanahitaji mahali pa kufanya tendo la ndoa ila wanawake wanahitaji sababu ya kufanya tendo la ndoa.
Wanawake wengi wanaoenda mahakamani kudai talaka kwa waume zao ni wale wachepukaji,mwanamke asiyechepuka hawezi kwenda mahakamani kudai talaka isipokuwa kama mumewe atakuwa amezidisha unyanyasaji wa kimwili na kiakili kiwango cha kukaribia kumuua mkewe.
How ?hapana