God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
- Thread starter
- #101
sasa kawa wanawake hawana adabu sisi tufanyeje tena? tuwabembelezeje? tuwape zawadi gani? nyie ni wa ku ignore tuu maadamu unaweza ishi miaka 1000 bila mwanamke na bila tatizo lolote la kiafya basi you are nothing.Nimetoka huko huko ulikoanzia wewe Mkuu, acha dharau kwa wanawake kwa kuwatukana matusi makubwa kiasi hicho! Jiheshimu ili uheshimiwe
Kikubwa tuheshimiane na sio mnatuletea mambo ya ajabu tuu hapa sababu nyie mko gifted no hata sisi tuna streghth zetu na tutawadhibiti vilivyo.