Hivi wanawake wana mioyo gani?

Hivi wanawake wana mioyo gani?

nyie wanaume ni wajinga kwa nini upewe tunda ukubali kula
Ndio adamu alifanya makosa sana maana hata kabla hajatwaliwa eva kutoka kwenye ubavu wake alionywa akaambiwa usili tunda na mti wa katikati yeye akala weee kilichomkuta ni siri yetu walimwengu na ndi maana nasema wanawake ni wadanganyifu sana
 
Ndio adamu alifanya makosa sana maana hata kabla hajatwaliwa eva kutoka kwenye ubavu wake alionywa akaambiwa usili tunda na mti wa katikati yeye akala weee kilichomkuta ni siri yetu walimwengu na ndi maana nasema wanawake ni wadanganyifu sana
hata we wanakudanganya sana sema hujui tu
 
hata we wanakudanganya sana sema hujui tu
Huwa nakula naacha huko mradi nipate changu wala siwezi weka makazi ya kudumu maana najua ni njia panda tuu kuna magari yanayopanda ya yanayoshuka na mengine yanaenda kila kona
 
Huwa nakula naacha huko mradi nipate changu wala siwezi weka makazi ya kudumu maana najua ni njia panda tuu kuna magari yanayopanda ya yanayoshuka na mengine yanaenda kila kona
kumbe tundu unalipenda halafu anakataa mbeba tundu hujielewi wewe
 
Ishi na mwanamke kwa akili. Narudia kwa Akili, akili, akili, usijifanye mr. 50/50 au mr.huruma na huruma zako za kibinadamu, Jua Bwana anataka uishije na mkeo maana anamfahamu zaidi yako , sisemi umtese, La Hasha. Ila tambua kuwa sio kila mwanamke utamchekea chekea mkaishi vizuri. WENGINE WANATAKA WANAUME WAHUNI WAHUNI FLANI HIVI JAPO UTAMSIKIA AKISEMA ANAHITAJI MCHA MUNGU ila wewe mcha Mungu ukiishi naye mnashindana mapema lakini akienda kwa jamaa MHUNI flani hivi wa kumfinya na kumpiga makofi ya hapa na pale, ndio moyo wake unatulia hadi utashangaa. Kwa mfano: UKISIKIA ANASEMA HATAKI MWANAMME MCHEPUKAJI, USIMWAMINI KWA 100%, MAANA HUENDA NDIYE ANAYEMUONA MJANJA WA KUISHI NAYE AU KUTOKA NAYE.
 
sababu tunaingia hedhi na tukibeba mimba hatuwezi tembea muda mrefu.. halafu pia alijua hawezi kuweka hasi na chanya pamoja ......
Maana angeweka hizo hasi na chanya pamoja lazima zingeleta Umeme na kuzaa Mwanga kama wa Adam na Eva
 
kumbe tundu unalipenda halafu anakataa mbeba tundu hujielewi wewe
Ndo maana nakwambia mimi siwezi lihifadhi katika store yangu kama eti ni mali yangu. no ni kama chakula tuu unakula mwishowe unaenda kunya.
Ndo hivo siwezi wekeza kwa wanawake bora nikampe pesa zangu maskini na mayatima nijiwekee hazina kwa Mungu.
 
Kwenye maandiko matakatifu kaandika ''enyi wanaume ishini kwa akili na wake zenu"
kweye kitabu cha Mithali ila sijui ni mstari gani kama wewe ni Mkristu.
Unajua tokea mwanzo nyie ni waajabu sana?
Muone hawa/eva alivyolaaniwa kizazi chake, umewahi kujiuliza kwa nini kiungo chake cha uzazi kipewe adhabu? huyu kuna kitu alifanya na nyoka na ndio maana baada ya kumpa tunda adamu baada ya yeye kula walianza kuoneana aibu kwamba wako uchi.

Kumbuka befor kabla ya kula tunda walikua uchi ila walikua hawajitambui/hawaoni haya sasa baada ya kula tunda wakajiona wako uchi??
Simple logic hawa wali sex tuu na yule mtoto wa kwanza wa adam na haya yani kaini atakua mtoto wa yule nyoka ndo maana alikua ana roho mbaya na alimuua ndugu yake abeli. na pia mtoto wa kaini yani lameki nae aliua, sasa hapo utaona jinsi iyo dhambi inavyofata vizazi hadi vizazi. hapo na kudhihiridhihirishia tuu kaini hakua mtoto halisi wa adamu bali alikua mtoto wa nyoka, na nyoka sio nyoka umuonae sasa kumbuka nyoka wa kipindi hicho alikua mwerevu kuliko viumbe wote na alikua anaongea so kutokana na sifa zake za kipekee alimpiga sound eva akamla na eva akamzaa kaini ambae hata alivyofukuzwa na Mungu adamu hakulalamika. na ninajua hakulalamika sababu sio damu yake, always damu ni nzito sana lazima angemwombea msamaha mwanae.

hii story tamuu!
 
Kumbe unaongelea nature sio? basi hamuwezi acha sababu mlizaliwa hivyo.
Sasa kwa sababu tushajua udhaifu wenu na jinsi mlivyo nafsini mwenu psychology works lazima mtutambue.
Lazima tuwanyooshe.
Ukimnyoosha kwa pasi ya mkaa mwenzio atakunyoosha kwa pasi ya gesi labda aamue mwenyewe tu kiboya boya ila ukiamua kushindana na mwanamke ambae amedhamilia kukushinda utagonga ukuta baba
 
Ishi na mwanamke kwa akili. Narudia kwa Akili, akili, akili, usijifanye mr. 50/50 au mr.huruma na huruma zako za kibinadamu, Jua Bwana anataka uishije na mkeo maana anamfahamu zaidi yako , sisemi umtese, La Hasha. Ila tambua kuwa sio kila mwanamke utamchekea chekea mkaishi vizuri. WENGINE WANATAKA WANAUME WAHUNI WAHUNI FLANI HIVI JAPO UTAMSIKIA AKISEMA ANAHITAJI MCHA MUNGU ila wewe mcha Mungu ukiishi naye mnashindana mapema lakini akienda kwa jamaa MHUNI flani hivi wa kumfinya na kumpiga makofi ya hapa na pale, ndio moyo wake unatulia hadi utashangaa. Kwa mfano: UKISIKIA ANASEMA HATAKI MWANAMME MCHEPUKAJI, USIMWAMINI KWA 100%, MAANA HUENDA NDIYE ANAYEMUONA MJANJA WA KUISHI NAYE AU KUTOKA NAYE.
kweli mkuu. hakuna mwanamke kamili ila yupo mwnamke bora.
na ukiwa na mwanamke usidhani eti anakupenda mara nyingi sio kweli. yuko na wewe ili kupata pesa kutokana na shida zake, au anapoteza mda tuu ili akamilishe mipango yake. ni wanafiki sana hawa watu
 
Back
Top Bottom