God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
.........
Na una chemba nnewana moyo unaolingana na size ya ngumi zao, kama wewe tu
tatizo nyie wanawake mnabadilika badilika sana tukisema tuna wadadisi ni kazi bure tuu kwani nyie ni waigizaji wazuri tuu.'ishina mwanamke kwa akili" kuwa mpole msome mwenzio utaelewa tu na pia jua hatufanani
ndiyo tupo hivyo kuweni wapoletatizo nyie wanawake mnabadilika badilika sana tukisema tuna wadadisi ni kazi bure tuu kwani nyie ni waigizaji wazuri tuu.
Mkuu nimekuelewa kuna sababu, unajua wanaume walipewa majukumu sana na Mwenyezi-Mungu na pia hata hawajatajwa sana saana kwenye Biblia ispokua kama ni specific task mfano kuzaa kama Bikira Maria na Hawa/eva.Hapo Ndo ujue kwanini yesu hakumweka mwanamke hata mmoja kuwa miongoni mwa wanafunzi wake 12 .
Nyuma yao yuko rafiki yao asieonekana kwa macho anaewapa kiburi na ujeuri. Huyo rafiki yao anawatumia km fimbo ya kuponda wanaume.
Ni kwa nini mnakua hivo sasa?ndiyo tupo hivyo kuweni wapole
sababu tunaingia hedhi na tukibeba mimba hatuwezi tembea muda mrefu.. halafu pia alijua hawezi kuweka hasi na chanya pamoja ......Hapo Ndo ujue kwanini yesu hakumweka mwanamke hata mmoja kuwa miongoni mwa wanafunzi wake 12 .
Nyuma yao yuko rafiki yao asieonekana kwa macho anaewapa kiburi na ujeuri. Huyo rafiki yao anawatumia km fimbo ya kuponda wanaume.
Hakuna cha generalization wala nini huu ni ukweli Mungu nae shahidi.too much generalization..
tumeumbwa hivyo emotion kwanza akili baadaeNi kwa nini mnakua hivo sasa?
Bado hii sio sababu mbona wazee/wababu walikua wanafanya majukumu mbalimbali na umri wao kwani hakuwaona nyie wanawake? sasa hujiulizi kwa nini hakuna kitabu hata kimoja kwenye Biblia kimeandikwa na mwanamke?? nyie ni kikwazo hapa dunianisababu tunaingia hedhi na tukibeba mimba hatuwezi tembea muda mrefu.. halafu pia alijua hawezi kuweka hasi na chanya pamoja ......
Kumbe unaongelea nature sio? basi hamuwezi acha sababu mlizaliwa hivyo.tumeumbwa hivyo emotion kwanza akili baadae
Mungu shahidi kivipi?Hakuna cha generalization wala nini huu ni ukweli Mungu nae shahidi.
basi mjizae mfyuu.. nyie ndiyo vikwazo sisi zamani hatukupewa nafasi katika maeneo mbali mbali ndiyo sababu hatujaonekana sana na pia kuna kitabu cha ESTA kipoBado hii sio sababu mbona wazee/wababu walikua wanafanya majukumu mbalimbali na umri wao kwani hakuwaona nyie wanawake? sasa hujiulizi kwa nini hakuna kitabu hata kimoja kwenye Biblia kimeandikwa na mwanamke?? nyie ni kikwazo hapa duniani
na ukisema unamyoosha mwanamke ni sawa na kupoteza muda wako ... aamue yeye ila siyo uamue weweKumbe unaongelea nature sio? basi hamuwezi acha sababu mlizaliwa hivyo.
Sasa kwa sababu tushajua udhaifu wenu na jinsi mlivyo nafsini mwenu psychology works lazima mtutambue.
Lazima tuwanyooshe.