Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Unakuta ukiishika tu simu ya mdada basi anakurukia huyo yaani usipokuwa makini anaweza hata akakutegua mkono wako.
Mkiwa mmekaa halafu ukawa kama unaisogelea simu yake basi asipoisogeza pembeni basi ataitia kwenye nyonyo kabisa.
Hakuna mdada anayeweza kukupa simu yake umpelekee kwa fundi asipoenda mwenyewe basi yupo radhi aendelee kutumia simu mbovu.
Akikupa umuwekee chaji basi atakukodolea mimacho huyo mpaka ajiaminishe hujafungua hata kama ameweka pattern.
Hivi mtuambie nyie viumbe simu zenu zina nini hasa kinachofanya zinawatesa hivi.
Mkiwa mmekaa halafu ukawa kama unaisogelea simu yake basi asipoisogeza pembeni basi ataitia kwenye nyonyo kabisa.
Hakuna mdada anayeweza kukupa simu yake umpelekee kwa fundi asipoenda mwenyewe basi yupo radhi aendelee kutumia simu mbovu.
Akikupa umuwekee chaji basi atakukodolea mimacho huyo mpaka ajiaminishe hujafungua hata kama ameweka pattern.
Hivi mtuambie nyie viumbe simu zenu zina nini hasa kinachofanya zinawatesa hivi.