Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Hadi shumizi za kiume zipohivi kumbe kuna suruali za kike, duh!!!!!!
Hadi shumizi za kiume zipohivi kumbe kuna suruali za kike, duh!!!!!!
Ukiona mwanamke anatetea huo ujinga ujue ndo wale wale wa biashara ... kwan ukivaa skirt ndefu umeambiwa hautapendwa ni mapepo tu yamewatawala
Kuandika tu hujui, kajifunze kwanza kuandika ndio uje utoe maoni yako
Na zile tishet zao zilizochanikachanika,
Kama hauna mamlaka ni vizuri, heri tu ufanye yako sasa ya walimwengu waachie walimwengu wenyewe
Hapo kwenye kuendelea mi hata sibadiliki mavazi nnayovaa ndo haya haya jana na leo na milele
as long as yanaendana na mazingira niliyopo
Na suruali za kuwabana mapaja wengine sasa wanakuaje kama watu wa kuchorwa?!!
hapa co bakita;ingekuwa tunatafuta nani mrumbi katk lugha sawa;bt point ile ike
kw umbo lako km kiaz na sket fup haikufai
Hata mie sijachukulia ugomvi mpendwa wanguni ushauri tu wala si ugomvi, as long as sikulishi, sikuvishi endelea tu, pengne ndo maisha uliyojichagulia, have a nice day ma dear!
Michosho tu hawa, siku hizi naona hakuna suruali za kiume wala za kike
unakuta njemba imevaa kasuali kamebana tupaja kama vimdenge vya mishikaki
bado kaichana na kwenye goti, vigoti vimejikomalia masikini
ehhhhhh watuache bana
Ha ha ha ni vile vikaptula vya vitenge?Na vile vikaptula siku hizi hahaa hata wanaume wanajichoreshaga basi tu
Ha ha ha utasema ni kamtego ka panya kumbe silaha ya maangamiziHahaaa halafu kakidole kamejichora kwa mbele!
Kwani mi nikibinua tako langu we unaumia nini???
Sketi yangu fupi inakupunguzia nini???
We fanya yako tu mkuu mambo ya kufatiliana hadi nguo haihusu
Sia aache tu kuangalia? Wengine tunapenda wawe hats uchi kidogo ili tutathmini kila kitu.
Ha ha ha hicho kimdomo kama cha kambale kinachekesha lolNa kuna hiiView attachment 272650
Ha ha ha ni vile vikaptula vya vitenge?
Bakita na kuandika ni vitu viwili tofauti
mwandiko wako unatia kichefuchefu
shusha tu net ulale sipo interested na huo uandishi goodbye mulugo's son