Mwili wangu ndio, mtuacheEvelyn Salt;Mtuache jamani,
tembea hata uchi dada angu ucogope..mwili n wak
Ndiooo tunaishi tupendavyo ilmradi hatuvunji sheriaVitu vingi wanaiga na wanashindwa kuchagua lipi bora....
Asilimia 70% ya wanawake wana akili moja...(Ona wanachojibu)..
>>>>>Haya mnasema mitindo yenu ya maisha haituhusu...mnafurahia watoto wenu kuona hayo makalio(matako) na hayo mapaja yenu?Vip wazaz wenu?Bado mnajiona mpo sahihi?
Sikatai na sisi wanaume tuna mapungufu mengi lakini unaporekebishwa jambo baya ulitendalo kubali.(Na ndivyo inavyotakiwa tuishi.)
Aya basi ishini mpendavyo.
Vitu vingi wanaiga na wanashindwa kuchagua lipi bora....
Asilimia 70% ya wanawake wana akili moja...(Ona wanachojibu)..
>>>>>Haya mnasema mitindo yenu ya maisha haituhusu...mnafurahia watoto wenu kuona hayo makalio(matako) na hayo mapaja yenu?Vip wazaz wenu?Bado mnajiona mpo sahihi?
Sikatai na sisi wanaume tuna mapungufu mengi lakini unaporekebishwa jambo baya ulitendalo kubali.(Na ndivyo inavyotakiwa tuishi.)
Aya basi ishini mpendavyo.
Ndiooo tunaishi tupendavyo ilmradi hatuvunji sheria
Haya shushia na maji....
Tumechoka humu jukwaani kila mada ni wanawake tu wakati mna yenu mmeyakalia hamusemi....milegezo haiwakeli ila vimini
Kumbe ee...Vizuri.
Leo umeongea la maana sana
Mwili wangu ndio, mtuache
we mwenyewe hapo hata kuandika vizuri hujui ila unaangalia nani kavaa nini