Hivi wanaume wenzangu pesa zipo wapi

Hivi wanaume wenzangu pesa zipo wapi

Wanaume wenzangu embu tuulizane kiutu uzima ..wale watoto wa chini ya miaka 18 mkae pembeni kidogo, wakubwa zenu tuongee..

Okey wanaume wenzangu hivi pesa zipo wapi, wengine wanazipata wapi aisee..watu wananunua migari ya mamilioni ya mashilingi, mtu anakuambia yeye kutumia milioni moja kwa siku sio ishu, ,yale madege makubwa ya Emirates first class anayapanda kila wiki, leo Ugiriki, kesho visiwa vya Maldives Spain, mara Bahamas, ananiambia tena ,,."mkuu pem...eti ananiita mkuu ...mkuu pem mimi nakaa hotel za kulipa milioni 20 kwa siku huko visiwa vya Maldives uhispania..nabaki kumeza mate tu. Sijaongea nyumba na yard ya magari ... Alhamdullilah uwii

Mara shopping yake kila wiki anamaliza milioni hamsini ..kama kununua saa tu ananunua saa ya dola laki moja tu..bado nguo, viatu..najiuliza kuna mahali labda wati wanajichotea mihela wenzangu..unaenda na lindoo lako lile la bafuni la kuogea unachota unaondoka zako..mana sio kwa kufuru hizi daah...mara katika hali.ya kushika tama na kumuangalia mara "kaka usisikitike sana..huku anacheka ..chukua basi hii dola 100 ya vocha"
Nasema kimoyomoyo..dola 100 ni ya vocha kwake??

Wanaume wenzangu embu tudiscuss hii issue kwa userious mkubwa sana..anyway kama una uchu na kusaka pesa karibu tujadili
Mkuu huku jf hakuna wenye pesa kwakweli huku wapo warekebishaji tabia na maadili yakazi uwapo kazini kwa watu wenye kazi na kuwafunza watu jinsi yakuishi vizuri ktk ulimwengu huu tulio nao pamoja nakuwashauri vitu vizuri viongizi wa nchii ikiwamo kuwakosoa pindi wanapokosea. Sasa wewe ikiwa unataka kujua ilipo PESA twende bank tukawaulize ma teller wapi pesa zipo au waweza fika BOT Kwa maelezo zaidi.
 
Mkuu huku jf hakuna wenye pesa kwakweli huku wapo warekebishaji tabia na maadili yakazi uwapo kazini kwa watu wenye kazi na kuwafunza watu jinsi yakuishi vizuri ktk ulimwengu huu tulio nao pamoja nakuwashauri vitu vizuri viongizi wa nchii ikiwamo kuwakosoa pindi wanapokosea. Sasa wewe ikiwa unataka kujua ilipo PESA twende bank tukawaulize ma teller wapi pesa zipo au waweza fika BOT Kwa maelezo zaidi.
Sizitaki za BOT wala za ma teller .!!
 
Hela ipo, ni suala la muda tu . Na vile vile walk slowly toward your goals, hata kama umechoka keep walking. Ipo siku isiyo na jina, unajikuta na wewe umepanda first class unaagiza msosi wa mdada wa KLM, Etihad, Fly Emirates au Delta.
 
Haha aisee..acha tu
Hela ipo, ni suala la muda tu . Na vile vile walk slowly toward your goals, hata kama umechoka keep walking. Ipo siku isiyo na jina, unajikuta na wewe umepanda first class unaagiza msosi wa mdada wa KLM, Etihad, Fly Emirates au Delta.
 
Pesa zote unazoona wanatumia si kwamba wamezitafuta sasa, pesa nyingi watu walipiga enzi za jakaya saizi wemebakisha matumizi TU.
 
Kaa ndani jifungie chumbani tukana serikali mitandaoni asubuh Hadi jioni kwa mwaka mzima,michongo itaanza kuja taratibu
 
Wanaume wenzangu embu tuulizane kiutu uzima ..wale watoto wa chini ya miaka 18 mkae pembeni kidogo, wakubwa zenu tuongee..

Okey wanaume wenzangu hivi pesa zipo wapi, wengine wanazipata wapi aisee..watu wananunua migari ya mamilioni ya mashilingi, mtu anakuambia yeye kutumia milioni moja kwa siku sio ishu, ,yale madege makubwa ya Emirates first class anayapanda kila wiki, leo Ugiriki, kesho visiwa vya Maldives Spain, mara Bahamas, ananiambia tena ,,."mkuu pem...eti ananiita mkuu ...mkuu pem mimi nakaa hotel za kulipa milioni 20 kwa siku huko visiwa vya Maldives uhispania..nabaki kumeza mate tu. Sijaongea nyumba na yard ya magari ... Alhamdullilah uwii

Mara shopping yake kila wiki anamaliza milioni hamsini ..kama kununua saa tu ananunua saa ya dola laki moja tu..bado nguo, viatu..najiuliza kuna mahali labda wati wanajichotea mihela wenzangu..unaenda na lindoo lako lile la bafuni la kuogea unachota unaondoka zako..mana sio kwa kufuru hizi daah...mara katika hali.ya kushika tama na kumuangalia mara "kaka usisikitike sana..huku anacheka ..chukua basi hii dola 100 ya vocha"
Nasema kimoyomoyo..dola 100 ni ya vocha kwake??

Wanaume wenzangu embu tudiscuss hii issue kwa userious mkubwa sana..anyway kama una uchu na kusaka pesa karibu tujadili
Haya matumizi uliyoyataja yako kwenye BONGO MOVIE.
 
Dawa za Kulenya + Ukwepaji Kodi + Kujuana na Wakubwa Serikalini + Ushirikina / Kafara + Freemasons + Kuiba / Ujambazi + Utoaji / Upokeaji Rushwa + Utapeli / Usanii + Umalaya kwa Mtoto wa Kike + Kuingiliwa Kinyume na Maumbile kwa Mtoto wa Kiume = Utajiri huo mkubwa nchini Tanzania.

Alasiri njema Mkuu.
Hili ndo jibu sahihi
 
Tatizo watu wengi wanapenda sifa lakini siku ukimwambia nioneshe mzunguko jinsi unavyo ingiza hio hela hapo anapotea. Yes hela ipo lakini sifa zimezidiiii

Nikija kwenye hela ipo wapi:- Unapotaka kufanikiwa
1 Soma vitabu vya kuleta mafanikio.
2 Kuwa na rafiki walio fanikiwa usiombe samaki, mwambie akufunze jinsi ya kuvua samaki.
3 Badilisha maisha ya kukaa na watu wasio na vision ya maisha.
4 Punguza starehe na panga njia za mafanikio na kuwa na deadline yake.
Njia kuu ya mafanikio tumia hela izalishe hela, hapa naongelea ku invest na sio kutumia nguvu ili upate pesa.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Mkuu sikubaliani na wewe, vitabu vya Napoleon hill, vinakuinspire tu but the game to success katika mifumo ya nchi za kiafrica lazma
1. Uwe mkwepa Kodi, ufanye biashara za madili, madawa ya kulevya, Rushwa/ufisadi etc
2. Urithi Mali
3. Ushirikina/ Bahati

Mkuu pesa za kuitwa tajiri ni vigumu Sana kuzipata kwa mifumo yetu hii ya kiafrica kihalali ukijatahidi Sana utapata Kigali kimoja na nyumba ya kuishi tu na pesa za kubadilishia mboga lakini sio utajiri
 
Mkuu sikubaliani na wewe, vitabu vya Napoleon hill, vinakuinspire tu but the game to success katika mifumo ya nchi za kiafrica lazma
1. Uwe mkwepa Kodi, ufanye biashara za madili, madawa ya kulevya, Rushwa/ufisadi etc
2. Urithi Mali
3. Ushirikina/ Bahati

Mkuu pesa za kuitwa tajiri ni vigumu Sana kuzipata kwa mifumo yetu hii ya kiafrica kihalali ukijatahidi Sana utapata Kigali kimoja na nyumba ya kuishi tu na pesa za kubadilishia mboga lakini sio utajiri
Tatizo la maskini huona tajiri kapendelewa sijui mshirikina mara freemasons sijui fisadi. Hayo mawazo ya kimaskini unaweza ukawa na elimu lakini ukawa huna ujasiri wa kujiajiri. Ndio maana wasomi wengi wa kiafrika wanaamini kuajiriwa na sio kujiajiri. Huwezi kuwa mchezaji mzuri kama hufanyi mazoezi, kama ushirikina unafanya kazi kwanini waafrika hatufanikiwi??. Mwenye kutafuta hulala muda mdogo lakini hutafuta mafanikio muda mwingi. Mfano watanzania wengi hawakubali kuekeza(ku invest) lakini hata Mo dewji utajiri wake mkubwa umetokana na hilo. Kuna dogo hapa Tz alianza ku invest kwenye cryptocurrency tokea bitcoin ipo $5 leo ukimuona ana miliki nyumba gari na kila miezi 4 anashusha container 3 za biashara zake. Sio kila anae fanikiwa awe na mambo kama hayo uliyo yataja, tatizo letu hatutumi muda kuwaza kujiinua. Kutwa tunawaza mipira,movies,bongoflava sijui porn na udaku. Hili ndio tatizo letu uwezi kukaa na bata akakufundisha kuruka jaribu kukaa na ndege wanao ruka.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tatizo la maskini huona tajiri kapendelewa sijui mshirikina mara freemasons sijui fisadi. Hayo mawazo ya kimaskini unaweza ukawa na elimu lakini ukawa huna ujasiri wa kujiajiri. Ndio maana wasomi wengi wa kiafrika wanaamini kuajiriwa na sio kujiajiri. Huwezi kuwa mchezaji mzuri kama hufanyi mazoezi, kama ushirikina unafanya kazi kwanini waafrika hatufanikiwi??. Mwenye kutafuta hulala muda mdogo lakini hutafuta mafanikio muda mwingi. Mfano watanzania wengi hawakubali kuekeza(ku invest) lakini hata Mo dewji utajiri wake mkubwa umetokana na hilo. Kuna dogo hapa Tz alianza ku invest kwenye cryptocurrency tokea bitcoin ipo $5 leo ukimuona ana miliki nyumba gari na kila miezi 4 anashusha container 3 za biashara zake. Sio kila anae fanikiwa awe na mambo kama hayo uliyo yataja, tatizo letu hatutumi muda kuwaza kujiinua. Kutwa tunawaza mipira,movies,bongoflava sijui porn na udaku. Hili ndio tatizo letu uwezi kukaa na bata akakufundisha kuruka jaribu kukaa na ndege wanao ruka.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Dogo inaonekana hujui na hujaelewa nilichoandika na ukikua utajua....huyo mo dewji unaemzungumzia kavikuta.

Subiri ukue utajua zaidi,maana mawazo yako unadhani watu hawafanyi kazi as if huwa wanakutegemea wewe uwapelekee mahitaji
 
Daah !! Hapo labda nichague ushirikina( on the process) au kujuana na wakubwa serikalini.. i have made up my mind ..this is too much
kwa hiyo mkuu upo tayari kutoa kafara/kikoa ndugu yako?
 
Daah !! Hapo labda nichague ushirikina( on the process) au kujuana na wakubwa serikalini.. i have made up my mind ..this is too much
dah, kweli life tight, unadiriki kuwaza kumuweka bond ndugu kwa mizimu!
 
Dawa za Kulenya + Ukwepaji Kodi + Kujuana na Wakubwa Serikalini + Ushirikina / Kafara + Freemasons + Kuiba / Ujambazi + Utoaji / Upokeaji Rushwa + Utapeli / Usanii + Umalaya kwa Mtoto wa Kike + Kuingiliwa Kinyume na Maumbile kwa Mtoto wa Kiume = Utajiri huo mkubwa nchini Tanzania.

Alasiri njema Mkuu.
True
 
Back
Top Bottom