Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,208
- 1,170
"kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha" waswahil husema hivyo ni mala ngap wabunge wa Ccm wamekuwa wakiropoka au kuzomea wenzao lakin hujalighusia hilo? Mbona umeangalia tu upande mmoja wa shilingi au wanayotenda wabunge wa Ccm ni sahih lakin kwa CDM si sahih?
Ni hayo tu mwisho nakuomba pia zingatia bias inayofanywa na mkalia kiti.
Ni hayo tu mwisho nakuomba pia zingatia bias inayofanywa na mkalia kiti.