Hivi Walishalimaliza lile Jengo?

Hivi Walishalimaliza lile Jengo?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,092
Reaction score
43,265
Nimejikuta niamue kuuliza tu..hivi lile jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza lilishaisha na kuanza kutumika? Maana updates tunazopata kwa kiwango cha dozi za kisonono ni mambo ya SGR...

"Kipande hiki kimeanza"
"Kipande hiki ni asilimia 70"
"Wakazi wa Kigoma mwisho wa reli wakae mkao wa kula"
"Sasa tunaleta SGR hadi Arusha"
"Tunafikiria kupeleka SGR hadi Katumba Songwe kwa kina mwanakijiji"

Ila hili jengo la Mwanza haruringishiwi kabisa

Kuna Waziri anayesimamia hii sekta?
 
Nimejikuta niamue kuuliza tu..hivi lile jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza lilishaisha na kuanza kutumika? Maana updates tunazopata kwa kiwango cha dozi za kisonono ni mambo ya SGR...

"Kipande hiki kimeanza"
"Kipande hiki ni asilimia 70"
"Wakazi wa Kigoma mwisho wa reli wakae mkao wa kula"
"Sasa tunaleta SGR hadi Arusha"
"Tunafikiria kupeleka SGR hadi Katumba Songwe kwa kina mwanakijiji"

Ila hili jengo la Mwanza haruringishiwi kabisa

Kuna Waziri anayesimamia hii sekta?
Du... mzee , umefufuka?
 
Nimejikuta niamue kuuliza tu..hivi lile jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza lilishaisha na kuanza kutumika? Maana updates tunazopata kwa kiwango cha dozi za kisonono ni mambo ya SGR...

"Kipande hiki kimeanza"
"Kipande hiki ni asilimia 70"
"Wakazi wa Kigoma mwisho wa reli wakae mkao wa kula"
"Sasa tunaleta SGR hadi Arusha"
"Tunafikiria kupeleka SGR hadi Katumba Songwe kwa kina mwanakijiji"

Ila hili jengo la Mwanza haruringishiwi kabisa

Kuna Waziri anayesimamia hii sekta?
Huna sera mzee!
Mzee wa ukabila
 
JPM alichora jengo la hovyo kabisa kama stoo ya korosho au pamba, wadau wamelikataa, Samia kaagiza lijengwe zuri kabisa lenye hadhi ya Jiji.

Lile la mwanzo lilikuwa linajengwa kwa force account, mafundi walikuwa wanaokotwa tu pale mwaloni na pansiansi wanaambiwa twende ukajenge.

Takataka kabisa, eti airport inasimamiwa ujenzi na Halmashauri, badala ya mamlaka ya viwanja bya ndege. JPM hovyo kabisa
 
Ni majigambo. Ukweli hausemwi.
1.kuna daraja la Magufuli, tunaambiwa liko 98%
2.ujenzi wa njia nne, Mwanza- Usagara, ni miezi mitatu wameweka kifusi upande mmoja kwa km 3/4. Site haina wajenzi.
3. Njo SGR, wajenzi hawaonekani, kazi imesimama zaidi ya miezi mitatu, angalau mza mjini. Lakini tunataka kwwnda Arusha.
4.MV Mwanza siku hizi hata haisemwi.
5. Soko kuu ni nyimbo tu, halifunguliwi, huku wajuaji wamejitwalia asilikia kubwa ya maduka.
5. Ujenzi wa njia nne mza- Kisesa ni Diversion ya kupita milimani inatesa magari, ujenzi haueleweki.
6. Huo uwanja wa Ndege sasa, hauzungumwi, waziri yuko busy na kujenga Dar.
 
Unaongelea kumalizia ? Hata kuna zile zilizokuwepo sasa hivi nyingine juu ya mawe.., ni siku sasa zimepita nimesikia hata MV Victoria imesimama safari let alone ile meli mpya sijui mwenendo wake... Na kuna matozo yameongezeka zaidi kabla hata ya awali..., Now one has to ask...

 
JPM alichora jengo la hovyo kabisa kama stoo ya korosho au pamba, wadau wamelikataa, Samia kaagiza lijengwe zuri kabisa lenye hadhi ya Jiji.

Lile la mwanzo lilikuwa linajengwa kwa force account, mafundi walikuwa wanaokotwa tu pale mwaloni na pansiansi wanaambiwa twende ukajenge.

Takataka kabisa, eti airport inasimamiwa ujenzi na Halmashauri, badala ya mamlaka ya viwanja bya ndege. JPM hovyo kabisa
Sasa jengo ji
Ni majigambo. Ukweli hausemwi.
1.kuna daraja la Magufuli, tunaambiwa liko 98%
2.ujenzi wa njia nne, Mwanza- Usagara, ni miezi mitatu wameweka kifusi upande mmoja kwa km 3/4. Site haina wajenzi.
3. Njo SGR, wajenzi hawaonekani, kazi imesimama zaidi ya miezi mitatu, angalau mza mjini. Lakini tunataka kwwnda Arusha.
4.MV Mwanza siku hizi hata haisemwi.
5. Soko kuu ni nyimbo tu, halifunguliwi, huku wajuaji wamejitwalia asilikia kubwa ya maduka.
5. Ujenzi wa njia nne mza- Kisesa ni Diversion ya kupita milimani inatesa magari, ujenzi haueleweki.
6. Huo uwanja wa Ndege sasa, hauzungumwi, waziri yuko busy na kujenga Dar.
Wait a minute...yaani ni kama kupiga march time...
 
Sasa jengo ji

Wait a minute...yaani ni kama kupiga march time...
Uwanja wenyewe: hivi juzi juzi wenyeji walio ahidiwa fidia ya maeneo yao kupisha uwanja walikuwa wakipiga kelele kwa kulaghaiwa!
Ni hawa hawa watakao semekana wameichagua CCM kwa kishindo hapo October! Uchawi wa CCM ni wa kipekee sana.
 
JPM alichora jengo la hovyo kabisa kama stoo ya korosho au pamba, wadau wamelikataa, Samia kaagiza lijengwe zuri kabisa lenye hadhi ya Jiji.

Lile la mwanzo lilikuwa linajengwa kwa force account, mafundi walikuwa wanaokotwa tu pale mwaloni na pansiansi wanaambiwa twende ukajenge.

Takataka kabisa, eti airport inasimamiwa ujenzi na Halmashauri, badala ya mamlaka ya viwanja bya ndege. JPM hovyo kabisa
Hilo la mama limefikia hatua gani?
 
Nimejikuta niamue kuuliza tu..hivi lile jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza lilishaisha na kuanza kutumika? Maana updates tunazopata kwa kiwango cha dozi za kisonono ni mambo ya SGR...

"Kipande hiki kimeanza"
"Kipande hiki ni asilimia 70"
"Wakazi wa Kigoma mwisho wa reli wakae mkao wa kula"
"Sasa tunaleta SGR hadi Arusha"
"Tunafikiria kupeleka SGR hadi Katumba Songwe kwa kina mwanakijiji"

Ila hili jengo la Mwanza haruringishiwi kabisa

Kuna Waziri anayesimamia hii sekta?
Hii serikali haiwezi, haitaki kusimamia kitu chochote cha mama kwa Watanzania.

Sana sana watakiuza kwa Waarabu wakipewa 10% au kubinafsisha kwa kampuni zao binafsi kumtumia Kafulila
 
Back
Top Bottom