Uzi huu katika mahali hapa kiukweli hauleti taswira nzuri kwa pande zote. Kazi maalumu achilia kwamba ni nyeti lakini pia ni endelevu. Kuna mmomonyoko wa kima adili hasa ya utumishi katika umma nauona kwa mbali. Jambo hili liangaliwe kwa uzito stahiki hasa hasa kama mamlaka husika zinaliona hili.Lakini tatizo nini? Wangewalipa tu hiyo hela yao kama ni kweli hawajawalipa ijapo mlalamikaji haja sema ni siku ngapi zimepita tangu wamemaliza kazi.
1:Chombo kama hiki kulalamikiwa nadhani siyo sahihi kwasababu kuna maisha na mstakabali wa maisha ya watoto yapo mikononi mwa
2:Ni vema wangeelezwa km pesa itachelewa kidogo kwa sababu malalamiko haya hayapaswi kuwa hapa,kwani kazi Ile ni ya siri na unyeti
3:Wahusika pia waliaangalie swala hili kwa umuhimu wake kwani ni rahisi kubadilisha taswira ya kazi yenyewe
Lakini tatizo nini? Wangewalipa tu hiyo hela yao kama ni kweli hawajawalipa ijapo mlalamikaji haja sema ni siku ngapi zimepita tangu wamemaliza kazi.
1:Chombo kama hiki kulalamikiwa nadhani siyo sahihi kwasababu kuna maisha na mstakabali wa maisha ya watoto yapo mikononi mwa
2:Ni vema wangeelezwa km pesa itachelewa kidogo kwa sababu malalamiko haya hayapaswi kuwa hapa,kwani kazi Ile ni ya siri na unyeti
3:Wahusika pia waliaangalie swala hili kwa umuhimu wake kwani ni rahisi kubadilisha taswira ya kazi yenyewe
Mkuu ukipeleka unakuwa noted...
Ukifika kituoni inafuata barua.. Ka ulikuwa kijijini panapofikiaka...sasa unatupwa chakaa ambako hata network hamna...
This field!!!!!??
Pale mnapokuwa mnaombwa nae kumsaidia Kuiba Kura apite pamoja na Chama chake na Kulipwa huwa pia mnakuja Kumshukuru Mitandaoni au?Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Wapi kwa mfano?Kuna maeneo walimu wameamua kukimbia mazima baada tu ya uchaguzi maana wananchi hawataki kuwaona kwa jinsi walivosimamia uchaguzi. Mungu awatie nguvu warudi vituoni kwao
Mwambie alipe na arrears mishahara kwa waliopandishwa madaraja tangu 2018 April mosi. Hili linamuumiza Sana my wife.Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Nyinyi ndio huwa mnashririkiana na maccm kusimamia zoezi la kupindua matokeo ya kura za wananchi. Acha muisome namba.Mishahara yetu duni... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna.. Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
We jamaa hawa watu wamekufanya nn asee japo wanaupuuzi wao, ila ww unaonekana unachuk nao yawaz halaf umejipambanua kua uko wizara ya afya we utakuja kudunga mtu sindano yasumu wewAngalia hata Zanzibar rais wao anawaita sekta ya afya anaongea nao manesi lakini huwezi kuona rais akiwaita kuongea na mialimu.
Tundulisu alipigwa lisasi kwasababu ya Hil neno???T
Tumepata kiongozi wa hovyo haijapata kutokea.
Mtaingiziwa kwenye acc zenu msiwe na haraka kwani si mmeacha acc number zenu na mliambiwa mtalipwa sasa malalamiko ya nini?TumedharauliwA mnoo hawamu hii... Haijawahi tokea..
Naona hata wewe bado hujui umuhimu jamii forum , kama ungejua ungekaa kimya na hoja hii.Huyu mtoa mada ni miongoni mwa walimu hovyo kabisa, yaani ameshindwa kuwasiliana na baraza huko analeta huku, hizi kazi maalumu zina usiri ndani yake na wanakula hadi viapo.
Mlikua mnafanya kazi gani kwanza??Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..
Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Eti serikali ni sikivu muda wote.Watu wamelalamikia vitu vingi Kama ajira na watu kuchapwa VIBOKO, serikali sikivu muda wote iko wapi?Hivi nyinyi huwa mnafikiriaje?Kwa kutumia tumbo au?Au kwa vile mnanufaika na mfumo?Jamani, nafikiri lengo la mleta mada hii kwa wana jamii ni kupata mawazo na hata faraja kama mwana jamii. Nimesoma komenti nyingi zinakosa japo neno la faraja. Tukumbuke kuwa ualimu ni kazi ya heshima. Popote ukimtaja mtaalamu wa aina yeyote ni sharti awe amefundishwa na mwalimu. Ni vema ikiwa tutawaheshimu waalimu na kusikitika nao pale haki zao zinapokosekana. Niwape pole waalimu kwa kukosa stahiki zao kwa wakati. Niwatie moyo kwamba msikate tamaa. Fuatilieni madai yenu kwa utaratibu uliopo kwani serikali ni sikivu wakati wote. Ukiona usiku umeendelea jua mchana nao pia waja.
Hili suala la NECTA siungi mkono walimu kulileta humu JF.Ila kwa upande mwingine walimu ndio kikwazo cha maendeleo hapa nchini.Kwanza wengi wao waoga na elimu zao za kujua kufundisha mada za masomo tu.Nje ya hapo ni wajinga wa kutupwa.We jamaa hawa watu wamekufanya nn asee japo wanaupuuzi wao, ila ww unaonekana unachuk nao yawaz halaf umejipambanua kua uko wizara ya afya we utakuja kudunga mtu sindano yasumu wew
Ulitaka tulipeleke wapi!??Hili suala la NECTA siungi mkono walimu kulileta humu JF.Ila kwa upande mwingine walimu ndio kikwazo cha maendeleo hapa nchini.Kwanza wengi wao waoga na elimu zao za kujua kufundisha mada za masomo tu.Nje ya hapo ni wajinga wa kutupwa.
Hawa ndio wasaliti wa viapo vyao. Kuna namna nzuri sana ya watu wa aina hiyo kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria.mkuu kua na subra, hela italipwa, TANZANIA ya Raisi wetu mpendwa jpm kila mtu atapata haki yake, nakuomba uvute subra, pia hapa sisehemu salama kuleta jambo kama hili hapo maana kazi hiyo ni siri kua mzalendo