Hivi walimu tumemkosea nini Mungu?

Hivi walimu tumemkosea nini Mungu?

Unasema kazi uliyonayo ya ualimu ni mbaya? Je nzuri unayo?Ipoteze hiyo uliyonayo ndipo utaona cha mtema kuni.tafuta muda wa ziada ufanye ujasiriamali.

Acha kukariri basi, sio moja na moja ni mbili muda wote, mara nyingine yaweza kuwa 11. Hivi unajua mazingira niliyopo na changamoto zake?
 
Uzuri mimi huwa sipendi kupelekeshwa, yaani hii mikwara yao kuna siku nitatafuna kor'dani za mtu.
katika kipindi changu nipo katika taaluma hiyo, nilikuwa mkorofi sana kwa hao mabosi.....
 
Apo huwa nashangaa kijana akikosa kupata sehemu yoyote ya kujiendeleza utasikia"ata ualimu umekushinda"sasa apo sijui ni kwamba professional zote tz,ya ualimu ndo rahisi au nn?
Ualimu ni kada ya watu waliofeli shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom