Yani hadi najuta kusomea hii kazi, kila mtu bosi wako. Akija mzazi anataka akupige, Mkuu wa shule akupige mikwara, Afisa Elimu akutishe, Mkuu wa Mkoa akuogopeshe, jamani hadi lini.
Yani hadi unaweza kukufuru kuzaliwa katika familia masikini, bila umasikini wa familia yangu nisingesomea huu upumbavu.
That time nilivutika kusomea kwa sababu ya mkopo na jinsi Al habiby Jakaya M Kikwete alivyokuwa anawatreat walimu, ila kwa sasa najuta, najuta.
Mungu, sisi binadamu tunakosea, hatujakamilika, usituadhibu kwa mateso haya, nakuomba tuondolee haya mateso, wewe Mungu unajua utayaondoaje, kwako hakuna linaloshindikana.
Yani hadi unaweza kukufuru kuzaliwa katika familia masikini, bila umasikini wa familia yangu nisingesomea huu upumbavu.
That time nilivutika kusomea kwa sababu ya mkopo na jinsi Al habiby Jakaya M Kikwete alivyokuwa anawatreat walimu, ila kwa sasa najuta, najuta.
Mungu, sisi binadamu tunakosea, hatujakamilika, usituadhibu kwa mateso haya, nakuomba tuondolee haya mateso, wewe Mungu unajua utayaondoaje, kwako hakuna linaloshindikana.