Hivi wakatoliki ndio Think Tank ya wakristo wote Tz

Status
Not open for further replies.

HM Hafif

JF-Expert Member
Aug 16, 2009
1,359
20
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?
You must have some data to back up your statement, otherwise it would be difficult to agree with you. Hiyo sensa ilifanyika wapi? Na nionavyo mimi KKKT hawakukurupuka kuupinga tu ati kwasababu umeandikwa na kanisa katoliki. wangeupinga kama ungekuwa unahimiza kujenga maslahi ya kikatoliki. Ukweli ni kuwa nchi hii ni yetu sote ikiwemo wakatoliki.Kama mambo yanaenda mrama wakae kimya tu kama hawaoni ili imnufaishe nani?
Naona kinachokusumbua mkuu ni kwanini wakatoliki ndo walioanza kutoa waraka na sio wengine, maana kuupinga tu bila kutoa hoja za kweli sio sahihi. Ule waraka umetokana na mapungufu yanayoletwa na wanasiasa. Kama kuna lawama wanastahili wao maana rushwa imekithiri, huduma za jamii zinapungua mpaka elimu inakuwa ina mashaka. Halafu unasikia mtu kaiba bilions!!
 
Hao unaoita ''Wakristo'' they don't see thinks and enterprete them the way ''you'' do!

Hawapingana km hakuna sababu ya kufanya hivyo, hawalumbani kama hakuna haja ya malumbano, wanakubaliana kwa hoja zao na wakipingana wanapingana kwa hoja pia! Upande mmoja ukifanya kitu kizuri hukiunga mkono, japokuwa imani zao zinatofautiana!

Sasa wewe unatakaje? hao wakristo wengine wapinge tu huo waraka hata kwa unafiki tu wakati wanajua unakitu cha maana ndani yake, tena kinachioweza kulikomboa taifa hili kutoka mikono ya mafisadi?
 
MODS thread za upupu naona mnaziacha tu na mnajua fika hazina tija..Kwanini ? why ?
 
issue ni ukatoliki na ukrito au ni hoja. issue ni nani kaiba hela zetu au hela imeibiwa? issue ni nini haswa? kama huwezi kutambua hili, basi hoja yako ni upupu mtupu.
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?
wewe nawe ndio maana umetukanwa kwenye post yako ya nyerere kutangazwa kuwa saint..do your homework kabla hujapost vitu hapa
 
mods...mods mods.....futa hizi mambo za HM.HAFIFni hopeless huyu mtu!
 
Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

completely wrong
 
You must have some data to back up your statement, otherwise it would be difficult to agree with you. Hiyo sensa ilifanyika wapi? Na nionavyo mimi KKKT hawakukurupuka kuupinga tu ati kwasababu umeandikwa na kanisa katoliki. wangeupinga kama ungekuwa unahimiza kujenga maslahi ya kikatoliki. Ukweli ni kuwa nchi hii ni yetu sote ikiwemo wakatoliki.Kama mambo yanaenda mrama wakae kimya tu kama hawaoni ili imnufaishe nani?
Naona kinachokusumbua mkuu ni kwanini wakatoliki ndo walioanza kutoa waraka na sio wengine, maana kuupinga tu bila kutoa hoja za kweli sio sahihi. Ule waraka umetokana na mapungufu yanayoletwa na wanasiasa. Kama kuna lawama wanastahili wao maana rushwa imekithiri, huduma za jamii zinapungua mpaka elimu inakuwa ina mashaka. Halafu unasikia mtu kaiba bilions!!
.

naona na mimi nikuulize NI WAPI Askofu Malasusa alihojiwa kuhusu Waraka huu wa Wakatoliki na kuukubali. Ni Wapi Dr Makowa wa Anglican alihojiwa kuhusu waraka huu na akaukubali? Lete ushahidi wako.

Tunajuwa fika waandishi walimuhoji Shehe wa Bakwata, Mh Kingunge, Waziri Mkuu na hata Raisi na wengine wengi na walituhabarisha kupitia vyombo vya habari. Vipi kuhusu Malasusa na Dr Mokiwa au hao waliwaona kama Kilaini hakuna haja kupata rai zao.
 
mods...mods mods.....futa hizi mambo za HM.HAFIFni hopeless huyu mtu!

Aisee hamna haja ya kuwasubiri MODS, sisi wanaJF wenyewe tunaweza kuwaadabisha watu kama hawa kwa kuwaweka kwenye IGNORE LIST.

Na-encourage tuitumie hii tool kwa watu wote waliotumwa kusambaza upupu humu jamvini. Majina yao yanajulikana na malengo yao yanajulikana, na tarehe zao za kujiunga zinajionesha kuwa ni za mwaka huu 2009 (kuelekea uchaguzi-2010)

Tusaidiane kuirudisha JF kwenye mstari ulionyooka.
 
wewe nawe ndio maana umetukanwa kwenye post yako ya nyerere kutangazwa kuwa saint..do your homework kabla hujapost vitu hapa

Kigogo sasa ndo nimeelewa kwa nini Abdulhalim alikuwa mkali kule kumbe jamaa ana vi-agenda vyake vya siri,na leo kwake ni mbaya maana kila post anayoileta inapondwa haswa-pole zake.
 

Quote:



Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.




completely wrong

your Completely lost. Ukisoma huu waraka wengi wanasema ni waraka wa wakristu na sio wakatoliki pekee yao.

hebu soma post kuhusu waraka wa wakatoliki na utaona watu wengi wanaunasibisha na nini?
 
you must have some data to back up your statement, otherwise it would be difficult to agree with you. Hiyo sensa ilifanyika wapi? Na nionavyo mimi kkkt hawakukurupuka kuupinga tu ati kwasababu umeandikwa na kanisa katoliki. Wangeupinga kama ungekuwa unahimiza kujenga maslahi ya kikatoliki. Ukweli ni kuwa nchi hii ni yetu sote ikiwemo wakatoliki.kama mambo yanaenda mrama wakae kimya tu kama hawaoni ili imnufaishe nani?
Naona kinachokusumbua mkuu ni kwanini wakatoliki ndo walioanza kutoa waraka na sio wengine, maana kuupinga tu bila kutoa hoja za kweli sio sahihi. Ule waraka umetokana na mapungufu yanayoletwa na wanasiasa. Kama kuna lawama wanastahili wao maana rushwa imekithiri, huduma za jamii zinapungua mpaka elimu inakuwa ina mashaka. Halafu unasikia mtu kaiba bilions!!


heshima mbele mkuuu!
 
Aisee hamna haja ya kuwasubiri MODS, sisi wanaJF wenyewe tunaweza kuwaadabisha watu kama hawa kwa kuwaweka kwenye IGNORE LIST.

Mkuu,

No hiyo tool itatuletea madhara baadaye....kumbuka, theories za uwongo na uzushi zikiachwa zitangazwe na kupigiwa debe kwa muda mrefu bila kukanushwa huwa zinageuka kuwa living ''facts'' zilizopikwa....wanaokuja baadaye wanashindwa kujua ukweli ni upi na uwongo ni upi!

Dawa ni kuwapa ''miarobaini'' as they come through mkuu....hakuna kuwaachia hawa!
 
Katika moja ya hotuba za hayati Nyerere aliwahi kusema, kuwa mtu mwenye mawazo ya udini au ukabila ni MPUMBAVU.

Watu wa aina hiyo tuwadharau na yale wayasemayo. Hakuna haja ya kupoteza muda kumwelimisha mtu mpumbavu.
 
Mkuu,

No hiyo tool itatuletea madhara baadaye....kumbuka, theories za uwongo na uzushi zikiachwa zitangazwe na kupigiwa debe kwa muda mrefu bila kukanushwa huwa zinageuka kuwa living ''facts'' zilizopikwa....wanaokuja baadaye wanashindwa kujua ukweli ni upi na uwongo ni upi!

Dawa ni kuwapa ''miarobaini'' as they come through mkuu....hakuna kuwaachia hawa!

Kiongozi,


Sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina Barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya JF ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define JF na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.
 
.

naona na mimi nikuulize NI WAPI Askofu Malasusa alihojiwa kuhusu Waraka huu wa Wakatoliki na kuukubali. Ni Wapi Dr Makowa wa Anglican alihojiwa kuhusu waraka huu na akaukubali? Lete ushahidi wako.

Tunajuwa fika waandishi walimuhoji Shehe wa Bakwata, Mh Kingunge, Waziri Mkuu na hata Raisi na wengine wengi na walituhabarisha kupitia vyombo vya habari. Vipi kuhusu Malasusa na Dr Mokiwa au hao waliwaona kama Kilaini hakuna haja kupata rai zao.


Mkuu kwa kuwa wewe ndiye unayetaka mahojiano na hao maaskofu nafikiri ungefanya hivyo. Kwani waandishi wa habari hawakuwa wajinga kwenda kwa hao waliowaohoji ambao wengi wao si kuwa walifuatwa na waandishi bali wao ndiyo waliita press conference. So kama hawa hawajaita press conference kwanini wasumbuliwe?

HIVYO ILI URIDHIKE NI VIZURI UKAENDA KUWAONGEA NAO MWENYEWE NA UJE UTUJUZE YALIYOJIRI KWENYE HIYO INTERVIEW. BADALA YA KUBISHANA VITU VISIVYO NA MSINGI.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom