Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.

moj6

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
3,354
Reaction score
5,006
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka Babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamuzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.

Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision.
 
Daa kumbe,,,nachoshangaa huyu duu kila muda ananiita"baba yangu" sijui ana maana gani?
Acha nikupe kisa kimoja kinachonihusu.

Mwaka fulani nilipata field huko Hydom, kiukweli nilistaajabu kuona uzuri wa wasichana wa kule, nikajikuta nimeshaingia kwenye mapenzi na binti wa kimbulu(alikua mwajiriwa). Mapenzi yakawa motomoto(nikajikuta marioo). Nitake nini mwanaume nisipate, out za kila mara, nikaona hapa naoa.

Mwanamke mpole, mnyenyekevu, mkarimu, nilijiona mbabe kweli.

Baada ya miaka miwili mwanamke akaanza kulazimisha sana ndoa, akadai kama sina hela yeye atagharamikia kila kitu ili mradi nimuoe, nikaona hii siiwezi. Nikamwambia asubiri kidogo.

Aisee kumbe demu ni demu wa masela, wanaoniita shemeji ndiyo mabwana zake.

Kisa ni kirefu ila hawa hawajui kukataa, ukioa jua na jirani yako atakula tu.

Nakupa task nenda uko ukweni, jaribu kumtongoza rafiki/mdogo mtu/dada mtu/ au mke wa mtu, ukikataliwa basi oa

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Acha nikupe kisa kimoja kinachonihusu.

Mwaka fulani nilipata field uko hydom, kiukweli nilista ajabu kuona uzuri wa wasichana wa kule, nikajikuta nimeshaingia kwenye mapenzi na binti wa kimbulu(alikua mwajiliwa). Mapenzi yakawa motomoto(nikajikuta marioo). Nitake nini mwanaume nisipate, out za kila mara, nikaona hapa naoa.
Mwanamke mpole, mnyenyekevu, mkarimu, nilijiona mbabe kweli.
Baada ya miaka miwili mwanamke akaanza kulazimisha sana ndoa, akadai kama sina hela yeye atagharamikia kila kitu hili mradi nimuoe, nikaona hii siiwezi. Nikamwambia asubiri kidogo.
Aisee kumbe demu ni demu wa masela, wanaoniita shemeji ndiyo mabwana zake.
Kisa ni kirefu hila hawa hawajui kukataa, ukioa jua na jirani yako atakula tu.

Nakupa task nenda uko ukweni, jaribu kumtongoza rafiki/mdogo mtu/dada mtu/ au mke wa mtu, ukikataliwa basi oa

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Ok, shukran sana mkuu, nimeanza kuunganisha dot
Mimi nilikuwa sitaki kusex nae mapema lakini yeye last week Ali force kusex tena getoni kwake, najiuliza tu yawezekana tupo wengi, mhhh
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom