Jamani hawa wenzetu wanaboa kishenzi! mimi wakati mwingine nashindwa kuwaelewa lengo lao..Ebu fikiria eti wanajifanya hawajui kuongea kiswahili? nani kasema ? Wanyarwanda, wakongo wengi wao ni wazuri wa kuongea hii lugha.Kichekesho huwa nakiona kwa hawa wenzangu tunapokuwa mazingira yanayotukutanisha na wakenya, eti wenyewe hawakijui, na hata mtu akitamka ni kama yule mzungu anaye jifunza kiswahili.
Siyo kama nawataka sana waongee kiswahili lakini nawaonea huruma kwani wanajishahua lakini hawana lugha ya taifa.. ukimuuliza anakwambia kiingereza, na uingereza wasemeje?
Siyo kama nawataka sana waongee kiswahili lakini nawaonea huruma kwani wanajishahua lakini hawana lugha ya taifa.. ukimuuliza anakwambia kiingereza, na uingereza wasemeje?