nimesoma nao hapo UDSM tulikuwa tunaishi hall four wote, wana tabia ya kujitenga sana hawa jamaa na kufanya mambo yao kwa siri kama wachawiKweli wanaboa. Pia kingereza chenyewe na accent yao tofauti. Kuna binti alisoma mlimani 4 yrs law, siku nikamtumia email ya kiswahili, eti akajibu nimempa wakati mgumu. Ila si wote