Hivi Waganda wana matatizo gani na Kiswahili

ni ukweli usiopunguka kuwa wakenya ndio wanaoongea kiswahili fasaha na ndio wanaoitendea haki sarufi. lafudhi yao ndio kivutio kikubwa kwa wamagharibi japo sio nzuri ila ni orijino

hapw kwetu ZnZ wanajitwhidi

kwa hapa

Wakenya? Labda wa maeneo ya pwani, ila si Nairobi na kwingineko. Ukitoa Kiswahili cha mwambao wa kenya, maeneo mengine kama wataongea kiswahili bila kuchanganya, basi wataongea Kiswahili ambacho ni Kiingereza kilichotafsiriwa neno kwa neno kwenda kiswahili. Matokeo yake kwetu sisi na hata kwa wakenya wa pwani tafsiri hii huleta maana zisizo eleweka eleweka. Kwa mfano: mkenya wa Nairobi na maeneo yasiyo ya pwani anaweza kusema, huyu dada ni wa ajabu sana akimaanisha, this lady is wonderful. Kwetu sisi ni vitu tofauti.
 
mkuu nimeishi nao lafudhi tu ndio changamoto ila kiswwhili sanifu wanwongea wakiamua
 
Mkuu, hapa umenena! Waganda si tu kwamba wengi wao hawakijui kiswahili, lakini pia hawakipendi. Unajua kwa nini? kwa sababu waganda kwa tabia yao ni watu wa kujisikia bora sana, na wanaona vyao tu ndiyo bora na vizuri. Nakumbuka nilikuwa na rafiki yangu mmoja hap Tz mganda daima alikuwa anasifia vya kwao tu: mara konyagi yao ni bora kuliko ya TZ, bia ya kwao umegemwa vizuri zaidi, kahawa ya kwao juu, wasichana wa kwao bomba, nk, nk. Ajabu na kweli!

Kumbe wana aina ya majivuno na madharau kwa watu wengine. wao kujifunza na kuongea kiswahili wanaona ni kujidhalilisha, kujishusha, kutoonekana wa maana.

Uganda mbali mbona viongozi wako hawapendi kuongea kiswahili hasa wanapokuwa mbele ya wageni? Hili unalisemeaje.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hii TANZANIA yetu, sijui ina matatizo gani leo hii,mtanzania anamcheka mganda kwa lafudhi ya kiingereza?untill when tutapokubali ukweli we will always remain behind. REALITY ni kwamba east africa kiingereza tuwaachie waganda na wakenya we still not there yet

una hakika na unachokisema? we unawajua watanzania wote?
 
Sisi je tunajua lugha ipi kwa ufasaha ? Kila mahali ki swanglish. Tunawezaje kushawishi wengine tusipomudu chochote kwa ufanisi ? Nyumbani,ofisini,shuleni,chuoni,bungeni kote hatueleweki.Siyo kiingereza,kiswahili wala lugha zetu za asili. Tuongeze umakini japo katika mojawapo
 
Kwani ni lazima waongee kiswahili, mbona nyie wabongo hamuongei kiganda?
 
Nampenda sana Raila Odinga. Anaongea kiswahili kizuri na anajitahidi sana kukifahamu.
 
Kwani ni lazima waongee kiswahili, mbona nyie wabongo hamuongei kiganda?
Kiganda ni kikabila tu kidogo cha wanganda si lugha ya taifa...!uganda kunamakabila kibao wakiwemo na baganda na yote yanavilugha vyao.
 
kiswahili hawajui ila wapo wanaojua wao lugha yao kuu ni luganda na kiingereza na hata ukitika kwa wanakuongelesha luganda au kiingereza. lkn kusikitisha Tanzania limekuwa shamba la bibi wamejaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom