Idhae
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 609
- 277
Yaani kuna dada leo nilimuona, makalio yalikuwa yanatetemeka hadi kila anyemuona anashangaa aitha kwa kuguna, kunong'onezana au kushika mdomo nk(ukizingatia pia kajaaliwa makalio makubwa)
Sasa ndio hapo najiuliza, hii mitetemo au vibration kwa baadhi ya kina dada ni makusudi,mikogo au inatokea tu bila wao kukusudia?
Sasa ndio hapo najiuliza, hii mitetemo au vibration kwa baadhi ya kina dada ni makusudi,mikogo au inatokea tu bila wao kukusudia?