Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 674
Tunavyo vyama vya kitaalam mpaka kwenye taaluma ambazo ki ukweli hazina impact kiville, lakini wapo.
Kuna chama cha wahasibu
Chama cha wanasheria
Chama cha waalimu
Chama cha madaktari
Chama cha wauguzi
Ila kinachonishangaza ni kuwa taaluma muhimu kama WACHUMI sijasikia kama wana umoja wao na jukwaa lao la kutoa sauti na kuishauri serikali.
Kinachotokea sasa ni kila mtu anajadili uchumi na wengine wanatoa na maelekezo, kweli?
Wachumi mko wapi?
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Kuna chama cha wahasibu
Chama cha wanasheria
Chama cha waalimu
Chama cha madaktari
Chama cha wauguzi
Ila kinachonishangaza ni kuwa taaluma muhimu kama WACHUMI sijasikia kama wana umoja wao na jukwaa lao la kutoa sauti na kuishauri serikali.
Kinachotokea sasa ni kila mtu anajadili uchumi na wengine wanatoa na maelekezo, kweli?
Wachumi mko wapi?
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app