Inshort mungu katupa akili regardless we ni wa namna gani.sasa apo displine yako ndo itakufungulia akili yakoChina haina eee? Baasi haaya!!
Na hao wajapani wana dini kama zetu?
Waliosalia??Nani! Wajapani wana dini kama zetu?
Mungu hadhiakiwi mkuuHv kwa nini duniani watu weusi ni wachache kuzidi weupe halafu hao weusi ndo wanadharaulika sana.
Huyu mungu ni mbaguzi sana kwa nini asingefanya walio wachache-watu weusi ndio wawe juu zaidi ya weupe
Jamaa nawakubali sana! Ufahamu wao uko juu sana. Japan,israel na marekani wanavumbua mchina anasoma na ana modify na kufanya yake. Hongereni wachina. Ulishawahi sikia rais wa china analalamika kuwa angejua asingekubali kuwa rais! Kule fisadi ni kunyongwa hadharani kwetu anapewa uenyekuti fyuuuuuh!Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?
Hv kwa nini duniani watu weusi ni wachache kuzidi weupe halafu hao weusi ndo wanadharaulika sana.
Huyu mungu ni mbaguzi sana kwa nini asingefanya walio wachache-watu weusi ndio wawe juu zaidi ya weupe
Uko juu mkuu big uphawa asili yao ni Mongolia, ndo wakagawanyika, wachina, wakorea, vietnam,wajapan, wote wenye sura kama wanalia asili yao ni mongolia na ndio maana macho yao yana ugonjwa flani unaitwa mongolism
ungezitaja sasa izo kanuni. tujue yaliyomo yamo??Kuna kanuni za kufuata ili ufanikiwe, haijalishi una dini au huna. Kama ilivyo dunia kulizunguka jua Mungu kawawekea binadamu wote sawasawa. Ukizijua na kuzifuata utakuwa tajiri. Elimu bila kufuata hizo kanuni ni bure, hali kadhalika kwa asiye na elimu.
Najuta kuwa Rais [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Jamaa nawakubali sana! Ufahamu wao uko juu sana. Japan,israel na marekani wanavumbua mchina anasoma na ana modify na kufanya yake. Hongereni wachina. Ulishawahi sikia rais wa china analalamika kuwa angejua asingekubali kuwa rais! Kule fisadi ni kunyongwa hadharani kwetu anapewa uenyekuti fyuuuuuh!
Waitu wakola muno!Elimu bure isiyo na ubora wa aina yeyote bdiyo unaotugharimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nazani wanawah kufa piaHv kwa nini duniani watu weusi ni wachache kuzidi weupe halafu hao weusi ndo wanadharaulika sana.
Huyu mungu ni mbaguzi sana kwa nini asingefanya walio wachache-watu weusi ndio wawe juu zaidi ya weupe
Waitu ago nigo mazima esiasa nzitukiza amani mpaka zagoba omumashule!!!!!!!!!Waitu wakola muno!
israel amevumbua nini kwani?Jamaa nawakubali sana! Ufahamu wao uko juu sana. Japan,israel na marekani wanavumbua mchina anasoma na ana modify na kufanya yake. Hongereni wachina. Ulishawahi sikia rais wa china analalamika kuwa angejua asingekubali kuwa rais! Kule fisadi ni kunyongwa hadharani kwetu anapewa uenyekuti fyuuuuuh!
Ya mungu kama unayo😱Picha? Unataka ya mungu au mchina?
Uvivu wa kufikiri na elemu duni ndicho kinacho tumaliza wa Tanzania .