Hivi wachina waliumbwa na nani jamani?

walikuwa kama wao walikuwa hawawaabudu watu kama wewe unavyowaabudu wao leo,hata wewe jikubali utakua zaid ya mchina,
 
Acha tufyatuliane Kwanza... Ni hatua nzuri... Tukiwa wengi kama wao ndo tutajua kuinnovate...
 
Wazungu wamepewa akili za kuvumbua vitu

Waafrica mmepewa rasilimali lakini hamuwezi kuzitumia wazungu wanaweza kutumia akili zao

So acheni kulia lia

Halafu mrudieni Mungu walio kuwa wanamwabudu mababu zenu acheni na Mungu aliemleta mzungu!!
 
Hv kwa nini duniani watu weusi ni wachache kuzidi weupe halafu hao weusi ndo wanadharaulika sana.
Huyu mungu ni mbaguzi sana kwa nini asingefanya walio wachache-watu weusi ndio wawe juu zaidi ya weupe
Hakuna mungu huyo.
 
Ni maamuzi na vipaumbele tu,kipaumbele cha mwafrika ni kula,kusomesha watoto na kujenga utaanza saa ngapi kufikiria habari za teknolojia na kuwa nchi ya viwanda!kiwango cha fikra zetu kinaishia ngazi ya familia ni waafrika wachache sana wanaowaza kwa kiwango cha taifa au wenye ndoto ya kulifanya taifa lao liwe bora kiuchumi kuliko lingine au hata mkoa wao uwe bora kiuchumi kuliko mkoa mwingine,wengi bado tunawaza tu jinsi ya kuzifanya familia zetu ziwe bora kuliko zingine.
 
china kuna madhehebu ya budha, sijui tibet kwaio hio ndo dini yao..ndo mana wana miungu yao sema wao wanaabudu sanamu...
 
Cha kwanza ni kujitambua mnataka kwenda wapi
Pili hao wavimba macho usidhani wamefika hapo kibahati bahati hapana kuna udikteta na ukauzu flan ulipita enzi za mwenyekiti Mao tsetung amri moja hakuna kujivutavuta alikuwa anakiamini alichokiwaza akakiweka penye vitendo na wananchi wake wakamuelewa alie kwenda kinyume alijuta kumjua mwenyekiti na usimamizi wa sheria ulio nyooka ndipo wamefika hapo si kwa lelemama.
 
hawa asili yao ni Mongolia, ndo wakagawanyika, wachina, wakorea, vietnam,wajapan, wote wenye sura kama wanalia asili yao ni mongolia na ndio maana macho yao yana ugonjwa flani unaitwa mongolism
Hapa umezingua mkuu...!
 
Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?[/QU

Mkuu sie tuna mlolongo mbovu Wa siasa na viongozi wabovu...na pia hakuna jopo la kuongoza nchi...kila kiongozi na lake...Leo viwanda kesho kilimo mwisho Wa Sikh mnajikuta mnacheza kanyamnyela palepale....!!! makundi ya kisiasa, ukabila Wa chini chini, matabaka ya kimaendeleo, udini na unafiki Wa watenda kazi, ufisadi na rushwa kwa kiwango cha Mbolea , ukosefu Wa elimu stahiki pia ni tatizo kubwa...!!! wale jamaa fatilia historia yao ilifikia hatua wakaweka kila tofauti chini zen wakakaza mkanda na kumove on
 
Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?[/QU

Mkuu sie tuna mlolongo mbovu Wa siasa na viongozi wabovu...na pia hakuna jopo la kuongoza nchi...kila kiongozi na lake...Leo viwanda kesho kilimo mwisho Wa Sikh mnajikuta mnacheza kanyamnyela palepale....!!! makundi ya kisiasa, ukabila Wa chini chini, matabaka ya kimaendeleo, udini na unafiki Wa watenda kazi, ufisadi na rushwa kwa kiwango cha Mbolea , ukosefu Wa elimu stahiki pia ni tatizo kubwa...!!! wale jamaa fatilia historia yao ilifikia hatua wakaweka kila tofauti chini zen wakakaza mkanda na kumove on
 
Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?

Pamoja na kukandamiza uhuru wa Dini ila China kuna wakristo wengi tu, tena very committed!
 
Back
Top Bottom