Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Fananisha na kaul ya diamond juzi ya roho mbaya
Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?
MTU hafanyikazi yeyote antegemea kupata maendeleoUvivu wa kufikiri na elemu duni ndicho kinacho tumaliza wa Tanzania .
Kwani kuwa na Dini kuna uhusiano gani wa kuwa na teknolojia?Hawana dini kama zetu, lakini kitecnolojia wapo juu, vibaya sana
Sisi inakuwaje? Tumekosea nini? Au wao ndo wako sahihi?