Uchaguzi 2020 Hivi Vyama vya Upinzani Tanzania viko serious na kuongoza Serikali?

Wasalaam wanaJF,

Kwa bahati nzuri nimefanikiwa kufuatilia mchakato wa kutafuta wagombea/ wawakilishi wa nafasi mbalimbali kwenye vyama mbalimbali kwaajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020.

Kiukweli na uwazi ni dhahiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejitanabaisha na kujipamba sawia katika wagombea wake kuanzia ngazi za udiwani kwani katika vitu vyote walivyofanya kwenye mchakato huu kumewajengea jina watu wanaoenda kuwa wagombea wao na katika duru za siasa umaarufu ni mtaji mkubwa kwenye kutengeneza wapiga kura kitu ambacho vyama vya upinzani Tanzania havijatilia mkazo katika hili.

Kitu cha pili ni mpango mkakati, Vyama vya upinzani Kwa mfano Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema) nguvu kubwa wamewekeza kwa wagombea wa nafasi za uraisi! Sasa najiuliza mgombea wa Chadema akishinda nafasi hii ya uraisi ataongoza Serikali ya namna gani? Je, atadumu kwenye kiti ya uraisi hata kwa mwaka mmoja?

Kwanini vyama vya upinzani haviwekezi nguvu kwenye kutafuta wabunge na madiwani ili kupata wawakilishi wengi kwenye mabaraza na Bunge? Leo hii asilimia kubwa ya wabunge wa upinzani ni matokeo ya M4C na movements mbalimbali Kwanini wametelekeza mkakati huu. Hivi wakiamua kusimamisha wagombea 200 wa uhakika na kuachana na Urais walau kwa kipindi kimoja na kulishika Bunge kisawasawa hawaoni watajenga zaidi nafasi yao?

Uhitaji kutumia nguvu kubwa kuona kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huu ujao na si kwasababu za kufichika hapana bali CCM wamejiandaa vizuri kwenye uchaguzi huu kuliko vyama vingine vya siasa.

Naomba kuwasilisha
Buku 7 at work
 
Mkuu Cesar Saint, kwanza asante kwa bandiko hili very objective, naunga mkono hoja, pili kuna maukweli mengine ni maukweli yenyewe halisi ya kinachokwenda kutokea uchaguzi huu wa 2020, kwenye issue ya urais, ulichosema ni ukweli kabisa, lakini kwa vile humu kuna watu wanaishi ndotoni na kufanya utopian politics, wakiota ndoto za mchana kweupe, wao watakupinga na wata kubeza.

Bandiko lako hili limejibu baadhi ya maswali ambayo mimi niliyauliza ile 2015
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

P

Upinzani iliteleza 2015 na kukosa Urais kwa sababu ya ubinasi(egoism) na mwaka huu, 2020 upinzani hautapa hata wabunge 10 Tz Bara! Sababu;Rais Dr Magufuli amekijenga chama vizuri(CCM) na kinakubalika!
 
Sasa kama hawatashinda kwanini maccm yanaogopa uchaguzi huru na wa haki na kutaka ushindi haramu wa wizi?
Sasa hali ndo imeshakua hivyo Upinzani hakuna plan B???.......... au ndo kila siku mambo yataenda hivihivi baadae tunakuja kutoa povu mtandaoni huku upande wa pili wanaapisha ,halafu unangojewa uchaguzi mwengine yajirudie yaleyale tena??? mimi ninachoona ili Upinzani waingie Ikulu lazima wapate mbinu tofauti ila kwa kusema kuwaomba CCM ilegeze ili wapinzani washinde ni kitu Impossible.............................mwisho wa siku kwa upande wa CCM ushindi kwao ni ushindi tu hata kama ukiwa haramu
 
Wasalaam wanaJF,

Kwa bahati nzuri nimefanikiwa kufuatilia mchakato wa kutafuta wagombea/wawakilishi wa nafasi mbalimbali kwenye vyama mbalimbali kwaajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020.

Kiukweli na uwazi ni dhahiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejitanabaisha na kujipamba sawia katika wagombea wake kuanzia ngazi za udiwani kwani katika vitu vyote walivyofanya kwenye mchakato huu kumewajengea jina watu wanaoenda kuwa wagombea wao na katika duru za siasa umaarufu ni mtaji mkubwa kwenye kutengeneza wapiga kura kitu ambacho vyama vya upinzani Tanzania havijatilia mkazo katika hili.

Kitu cha pili ni mpango mkakati, Vyama vya upinzani Kwa mfano Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) nguvu kubwa wamewekeza kwa wagombea wa nafasi za uraisi! Sasa najiuliza mgombea wa CHADEMA akishinda nafasi hii ya uraisi ataongoza Serikali ya namna gani? Je, atadumu kwenye kiti ya uraisi hata kwa mwaka mmoja?

Kwanini vyama vya upinzani haviwekezi nguvu kwenye kutafuta wabunge na madiwani ili kupata wawakilishi wengi kwenye mabaraza na Bunge? Leo hii asilimia kubwa ya wabunge wa upinzani ni matokeo ya M4C na movements mbalimbali Kwanini wametelekeza mkakati huu. Hivi wakiamua kusimamisha wagombea 200 wa uhakika na kuachana na Urais walau kwa kipindi kimoja na kulishika Bunge kisawasawa hawaoni watajenga zaidi nafasi yao?

Uhitaji kutumia nguvu kubwa kuona kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huu ujao na si kwasababu za kufichika hapana bali CCM wamejiandaa vizuri kwenye uchaguzi huu kuliko vyama vingine vya siasa.

Naomba kuwasilisha
VYA VYA UPINZANI AMA VYA MITANDAO YA JAMIIII KILA.MTU AONEKANE ANA CHAMA AMA ANAGOMBEA KHA
 
Sasa kama hawatashinda kwanini maccm yanaogopa uchaguzi huru na wa haki na kutaka ushindi haramu wa wizi?
HARAMU HULIWA NA HARAMUUU MUPWAAA TUTULIEEE TU CCM IFANYE YAKE
 
2469807_images.jpg


HARAMU HULIWA NA HARAMUUU MUPWAAA TUTULIEEE TU CCM IFANYE YAKE
 
Wasalaam wanaJF,

Kwa bahati nzuri nimefanikiwa kufuatilia mchakato wa kutafuta wagombea/wawakilishi wa nafasi mbalimbali kwenye vyama mbalimbali kwaajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020.

Kiukweli na uwazi ni dhahiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejitanabaisha na kujipamba sawia katika wagombea wake kuanzia ngazi za udiwani kwani katika vitu vyote walivyofanya kwenye mchakato huu kumewajengea jina watu wanaoenda kuwa wagombea wao na katika duru za siasa umaarufu ni mtaji mkubwa kwenye kutengeneza wapiga kura kitu ambacho vyama vya upinzani Tanzania havijatilia mkazo katika hili.

Kitu cha pili ni mpango mkakati, Vyama vya upinzani Kwa mfano Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) nguvu kubwa wamewekeza kwa wagombea wa nafasi za uraisi! Sasa najiuliza mgombea wa CHADEMA akishinda nafasi hii ya uraisi ataongoza Serikali ya namna gani? Je, atadumu kwenye kiti ya uraisi hata kwa mwaka mmoja?

Kwanini vyama vya upinzani haviwekezi nguvu kwenye kutafuta wabunge na madiwani ili kupata wawakilishi wengi kwenye mabaraza na Bunge? Leo hii asilimia kubwa ya wabunge wa upinzani ni matokeo ya M4C na movements mbalimbali Kwanini wametelekeza mkakati huu. Hivi wakiamua kusimamisha wagombea 200 wa uhakika na kuachana na Urais walau kwa kipindi kimoja na kulishika Bunge kisawasawa hawaoni watajenga zaidi nafasi yao?

Uhitaji kutumia nguvu kubwa kuona kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huu ujao na si kwasababu za kufichika hapana bali CCM wamejiandaa vizuri kwenye uchaguzi huu kuliko vyama vingine vya siasa.

Naomba kuwasilisha
Ni jambo zuri kwa CHADEMA ku fikiria ku wekeza zaidi kwa wagombea wa ubunge na udiwani lakini jambo la kuwekeza lina chukua muda. Kuwa na mgombea wa urais ambaye ana kubalika sehemu nyingi nchini inawa saidia sana wagombea wa ubunge na udiwani kwenye sehemu husika. Vile vile nina jaribu kutafakari jinsi ambavyo chama chochote cha siasa kinaweza ku muandaa mgombea yeyote na ninahisi kitu cha kwanza ni ku hakikisha kwamba anajaribu kadri ya uwezo wake ku kamilisha kazi aliyo panga ku kamilisha katika muda wake bungeni. Hicho kinaweza kumfanya akubalike na aaminike anapo gombea kipindi kingine. Sidhani kama chama chochote cha siasa kinaweza kusema kama kina wekeza kwa mgombea yeyote mwezi mmoja kabla ya kipindi cha kampeni. Hilo ni jambo ambalo linatakiwa lifanyike mapema zaidi
 
Wasalaam wanaJF,

Kwa bahati nzuri nimefanikiwa kufuatilia mchakato wa kutafuta wagombea/wawakilishi wa nafasi mbalimbali kwenye vyama mbalimbali kwaajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kwenye uchaguzi wa mwaka huu 2020.

Kiukweli na uwazi ni dhahiri kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejitanabaisha na kujipamba sawia katika wagombea wake kuanzia ngazi za udiwani kwani katika vitu vyote walivyofanya kwenye mchakato huu kumewajengea jina watu wanaoenda kuwa wagombea wao na katika duru za siasa umaarufu ni mtaji mkubwa kwenye kutengeneza wapiga kura kitu ambacho vyama vya upinzani Tanzania havijatilia mkazo katika hili.

Kitu cha pili ni mpango mkakati, Vyama vya upinzani Kwa mfano Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) nguvu kubwa wamewekeza kwa wagombea wa nafasi za uraisi! Sasa najiuliza mgombea wa CHADEMA akishinda nafasi hii ya uraisi ataongoza Serikali ya namna gani? Je, atadumu kwenye kiti ya uraisi hata kwa mwaka mmoja?

Kwanini vyama vya upinzani haviwekezi nguvu kwenye kutafuta wabunge na madiwani ili kupata wawakilishi wengi kwenye mabaraza na Bunge? Leo hii asilimia kubwa ya wabunge wa upinzani ni matokeo ya M4C na movements mbalimbali Kwanini wametelekeza mkakati huu. Hivi wakiamua kusimamisha wagombea 200 wa uhakika na kuachana na Urais walau kwa kipindi kimoja na kulishika Bunge kisawasawa hawaoni watajenga zaidi nafasi yao?

Uhitaji kutumia nguvu kubwa kuona kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi huu ujao na si kwasababu za kufichika hapana bali CCM wamejiandaa vizuri kwenye uchaguzi huu kuliko vyama vingine vya siasa.

Naomba kuwasilisha
Wewe au Baba yako mnakula kwa mgongo wa CCM
 
Back
Top Bottom