Hivi vinaweza kuwa vyanzo mahususi vya mapato kwa ajili ya Bodi ya Mikopo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Katika kukabiliana na tatizo kubwa la wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo,napendekeza zianzishwe tozo maalumu kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Bodi ya Mikopo kwa lengo la kuwezesha watoto wa masikini kusoma vyuo vikuu bila kujali kozi wanazosoma au kiwango cha ufauli ili mradi mtu awe amepata admission katika chuo kinachotambulika na serikali.

Tozo hizo ambazo tunaweza kuziita HESLB zinaweza kutozwa katika maeneo yafuatayo:

Posho za watumishi serikalini

Posho zote zinazotambulika serikalini kama vile sitting allowance za wabunge,posho za majeshi,posho za watumishi wengine wa umma ambazo nazo hutolewa kila katika ya mwezi kama ilivyo kwa Polisi,Jeshi na Magereza,n.k, zinaweza kutozwa hadi asilimia 5 ya malipo ya mtumishi kwa kila mwezi na fedha hizo zikaelekezwa Bodi ya Mikopo.

Tukumbuke kuna kada hazina kabisa malipo ya aina hii zaidi ya kusubiri tu mwisho wa mwezi.


Malipo ya Huduma za Ving'amuzi

Ingawa tuliambiwa kuwa local channels za tv hapa nchini zitakuwa zinatolewa bure,ukweli ni kwamba hivi sasa tunalipia na hakuna anaefuatilia licha ya watu kuhoji juu ya swala hili.

Hivyo basi,TCRA watangaze rasimi kuwa channel za ndani nazo sasa zinalipiwa na hapo hapo itungwe sheria au kanuni ya kutozo asilimia 5 au zaidi kwa kila malipo yanafanyika kwa ajili ya kupata huduma hii ya ving'amuzi na mapato yaelekezwa Bodi ya Mikipo.

Faini za Makosa mbalimbali

Hizi ni pamoja na faina za makosa ya barabarani,faini za mahakamani, n.k.Hapa serikali inaweza kutoza hata asilimia 10 ya faini za sasa na pesa zitakazopatikana zikaelekezwa kusaidia kusomesha wanafunzi wa vyuo vikuu.

Kwa mfano asilimia 10 ya elfu 30,000 (faini ya makosa ya barabarani) ni sh 3000 hivyo sio haba japo makosa haya hayatakiwi kuwepo ila tukumbuke madereva nao hawataki kutii sheria na wanaangamiza maisha ya watu wengi pamoja na mali zao karibu kila siku iendayo kwa mungu.

Mauzo ya viwanja

Viwanja vinavyopimwa na kuuzwa na serikali nchi nzima vinaweza kutozwa asilimia hata 5 ya bei ya kiwanja na fedha zitakazokusanywa zikapelekwa bodi kwa ajili ya kugharamia elimu ya juu.

Kwa mfano, asilimia 5 ya kiwanja kimoja cha shilingi milioni 2 ni shilingi 10,000. Sasa kwa mwaka mmoja wa fedha kwa viwanja vya nchi nzima hela itakosekana hapo?

Ruzuku ya vyama vya siasa

Hii ruzuku inaweza kufutwa kabisa sambamba na sitting allowonce za wabunge na fedha zitakazookolewa zikaelekezwa bodi ya mikopo.

Vyama vya siasa havipaswi kuwa mzigo kwa mlipa kodi bali vianze kujiendesha vyenyewe na si kupewa ruzuku na serikali na hii itapunguza mnyukano wa kugombea na madaraka ndani ya vyama hivi na kuleta usawa katika ushindani wa kisiasa baina ya vyama hapa nchini.

Hata kama hatutapata fedha za kutosha kumaliza tatizo hili ila tutakuwa tumefanikiwa kulipunguza.

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchii hii wanateseka bure kwasababu tu hawajapewa kipaumbele na zaidi watu wamejaa ubinafsi lakini sio kweli kwamba serikali inashindwa kuwasomesha.
 
Unajua wafanyakazi wa sekta binafsi wanakatwa kodi kwenye posho zao. Nilishangaa sana hata posho ya nauli kwa mwezi tena iliyopigiwa hesabu wanakata kodi wakati huo huo nauli anayolipa mfanyakazi huyu nayo inakuwa na kodi ndani yake. yaani wanalipishwa kodi mara mbili!
 
Zitafikia walegwa? si kila mwaka bunge linatenga pesa za mfuko wa maafa je zimepelekwa Kagera?
 
Katika kukabiliana na tatizo kubwa la wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo,napendekeza zianzishwe tozo maalumu kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Bodi ya Mikopo kwa lengo la kuwezesha watoto wa masikini kusoma vyuo vikuu bila kujali kozi wanazosoma au kiwango cha ufauli ili mradi mtu awe amepata admission katika chuo kinachotambulika na serikali.

Tozo hizo ambazo tunaweza kuziita HESLB zinaweza kutozwa katika maeneo yafuatayo:

Posho za watumishi serikalini


Posho zote zinazotambulika serikalini kama vile sitting allowance za wabunge,posho za majeshi,posho za watumishi wengine wa umma ambazo nazo hutolewa kila katika ya mwezi kama ilivyo kwa Polisi,Jeshi na Magereza,n.k, zinaweza kutozwa hadi asilimia 5 ya malipo ya mtumishi kwa kila mwezi na fedha hizo zikaelekezwa Bodi ya Mikopo.

Tukumbuke kuna kada hazina kabisa malipo ya aina hii zaidi ya kusubiri tu mwisho wa mwezi.


Malipo ya Huduma za Ving'amuzi


Ingawa tuliambiwa kuwa local channels za tv hapa nchini zitakuwa zinatolewa bure,ukweli hivi sasa tunalipia na hakuna anaefuatilia licha ya watu kuhojo juu ya swala hili.

Hivyo basi,TCRA watangaze rasimi kuwa channel za ndani nazo sasa zinalipiwa na hapo hapo serikali ianze kutozo asilimia 5 au zaidi kwa kila malipo yanafanyika kwa ajili ya kupata huduma hii na mapato yaelekezwa Bodi ya Mikipo.

Faini za Makosa mbalimbali

Hizi ni pamoja na faina za makosa ya barabarani,faini za mahakamani, n.k.Hapa serikali inaweza kutoza hata asilimia 10 ya faini za sasa na pesa zitakazopatikana zikaelekezwa kusaidia kusomesha wanafunzi wa vyuo vikuu.

Kwa mfano asilimia 10 ya elfu 30,000 (faini ya makosa ya barabarani) ni sh 3000 hivyo sio haba japo makosa haya hayatakiwi kuwepo ila tukumbuke madereva nao hawataki kutii sheria na wanaangamiza maisha ya watu wengi pamoja na mali zao karibu kila siku iendayo kwa mungu.

Mauzo ya viwanja


Viwanja vinavyopimwa na kuuzwa na serikali nchi nzima vinaweza kutozwa asilimia hata 5 ya bei ya kiwanja na fedha zitakazokusanywa zikapelekwa bodi kwa ajili ya kugharamia elimu ya juu.

Kwa mfano, asilimia 5 ya kiwanja kimoja cha shilingi milioni 2 ni shilingi 10,000. Sasa kwa mwaka mmoja wa fedha kwa viwanja vya nchi nzima hela itakosekana hapo?

Ruzuku ya vyama vya siasa

Hii ruzuku inaweza kufutwa kabisa sambamba na sitting allowonce za wabunge na fedha zitakazookolewa zikaelekezwa bodi ya mikopo.

Vyama vya siasa havipaswi kuwa mzigo kwa mlipa kodi bali vianze kujiendesha vyenyewe na si kupewa ruzuku na serikali na hii itapunguza mnyukano wa kugombea na madaraka ndani ya vyama hivi na kuleta usawa katika ushindani wa kisiasa baina ya vyama vya siasa.

Hata kama hatutapata fedha za kutosha kumaliza tatizo hili ila tutakuwa tumefanikiwa kulipunguza.
Mawazo mazur sana. Keep it up.
 
tushaambiwa makusanyo yamevuka yale ya awali. ina maana tatizo sio pesa..!
pesa zipo..
jinsi ya kuzigawa
 
Huyu jamaa ni miongoni mwa wale wanaolenga kuwa na Tanzania halisi. Tumuunge mkono.Really he is among GT's.
 
  • Thanks
Reactions: mni
Katika kukabiliana na tatizo kubwa la wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo,napendekeza zianzishwe tozo maalumu kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Bodi ya Mikopo kwa lengo la kuwezesha watoto wa masikini kusoma vyuo vikuu bila kujali kozi wanazosoma au kiwango cha ufauli ili mradi mtu awe amepata admission katika chuo kinachotambulika na serikali.

Tozo hizo ambazo tunaweza kuziita HESLB zinaweza kutozwa katika maeneo yafuatayo:

Posho za watumishi serikalini


Posho zote zinazotambulika serikalini kama vile sitting allowance za wabunge,posho za majeshi,posho za watumishi wengine wa umma ambazo nazo hutolewa kila katika ya mwezi kama ilivyo kwa Polisi,Jeshi na Magereza,n.k, zinaweza kutozwa hadi asilimia 5 ya malipo ya mtumishi kwa kila mwezi na fedha hizo zikaelekezwa Bodi ya Mikopo.

Tukumbuke kuna kada hazina kabisa malipo ya aina hii zaidi ya kusubiri tu mwisho wa mwezi.


Malipo ya Huduma za Ving'amuzi


Ingawa tuliambiwa kuwa local channels za tv hapa nchini zitakuwa zinatolewa bure,ukweli hivi sasa tunalipia na hakuna anaefuatilia licha ya watu kuhojo juu ya swala hili.

Hivyo basi,TCRA watangaze rasimi kuwa channel za ndani nazo sasa zinalipiwa na hapo hapo serikali ianze kutozo asilimia 5 au zaidi kwa kila malipo yanafanyika kwa ajili ya kupata huduma hii na mapato yaelekezwa Bodi ya Mikipo.

Faini za Makosa mbalimbali

Hizi ni pamoja na faina za makosa ya barabarani,faini za mahakamani, n.k.Hapa serikali inaweza kutoza hata asilimia 10 ya faini za sasa na pesa zitakazopatikana zikaelekezwa kusaidia kusomesha wanafunzi wa vyuo vikuu.

Kwa mfano asilimia 10 ya elfu 30,000 (faini ya makosa ya barabarani) ni sh 3000 hivyo sio haba japo makosa haya hayatakiwi kuwepo ila tukumbuke madereva nao hawataki kutii sheria na wanaangamiza maisha ya watu wengi pamoja na mali zao karibu kila siku iendayo kwa mungu.

Mauzo ya viwanja


Viwanja vinavyopimwa na kuuzwa na serikali nchi nzima vinaweza kutozwa asilimia hata 5 ya bei ya kiwanja na fedha zitakazokusanywa zikapelekwa bodi kwa ajili ya kugharamia elimu ya juu.

Kwa mfano, asilimia 5 ya kiwanja kimoja cha shilingi milioni 2 ni shilingi 10,000. Sasa kwa mwaka mmoja wa fedha kwa viwanja vya nchi nzima hela itakosekana hapo?

Ruzuku ya vyama vya siasa

Hii ruzuku inaweza kufutwa kabisa sambamba na sitting allowonce za wabunge na fedha zitakazookolewa zikaelekezwa bodi ya mikopo.

Vyama vya siasa havipaswi kuwa mzigo kwa mlipa kodi bali vianze kujiendesha vyenyewe na si kupewa ruzuku na serikali na hii itapunguza mnyukano wa kugombea na madaraka ndani ya vyama hivi na kuleta usawa katika ushindani wa kisiasa baina ya vyama vya siasa.

Hata kama hatutapata fedha za kutosha kumaliza tatizo hili ila tutakuwa tumefanikiwa kulipunguza.

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchii hii wanateseka bure kwasababu tu hawajapewa kipaumbele na zaidi watu wamejaa ubinafsi lakini sio kweli kwamba serikali inashindwa kuwasomesha.
Binafsi nakupongeza sana kwa kuwa umejaribu kutoa mbadala japo mapendendekezo mengine sikubaliani. Good
 
Nadhani u must be below 30yrs mawazo hayo hata ukimwambia baba yako atakuchapa vibao. Huwezi kuwabana wananchi ambao tayar wamepigika kisa kuwasomesha watu ambao hata uwezo wa darasani hawana. Cha msingi serekali ibane elimu kuanzia secondary, nakumbuka zamani darasa la kwanza mnaanza 300 darasa la saba mpo 180 wanaofauli 25 kwenda sekondary, form 2 mnabaki 16 form 6 mnafika 9 na chuo 3. Lakini sasa hivi hadi vilaza wanafika chuo.
 
Jamaa hataki watu waishi vuzri tu wala wafikie malengo yao ndio maana anabana hizo hela, hata hela za maafa ya wakazi wa Bukoba amebana, sasa kila uchao anajisifu kukusanya za kutosha, haaaa, sasa tukimuongezea itakuwaje?! Aendlee kuziweka mchagoni? maana hata mabenki hayana hela,.
 
Nadhani u must be below 30yrs mawazo hayo hata ukimwambia baba yako atakuchapa vibao. Huwezi kuwabana wananchi ambao tayar wamepigika kisa kuwasomesha watu ambao hata uwezo wa darasani hawana. Cha msingi serekali ibane elimu kuanzia secondary, nakumbuka zamani darasa la kwanza mnaanza 300 darasa la saba mpo 180 wanaofauli 25 kwenda sekondary, form 2 mnabaki 16 form 6 mnafika 9 na chuo 3. Lakini sasa hivi hadi ****** wanafika chuo.
Wewe ndo uko. Below 30. Hivi unahisi kusoma ni anasa au? Kusoma ni haki ya msingi. Na kuhusu hao unaoita Vila za unafkiri wakiwa wengi mtaani mwisho wake nini? Mkuu sijaona ulichosema chenye mantiki. Kwanini unajitoa ufahamu hivyo.? Hujui umhimu wa watoto wa maskini wakisoma?
 
Kwani zamani watoto wa masikini hawakusoma? Au nikuulize zile shule za vipaji mzumbe, kibaha,ilboru walikuwa wanaenda watoto wa matajiri pekee?
 
Una mawazp mazuri saana kuliko anayelalamika tu bila soln

Right woote walochangia wangekuja na constructive ideas
Ingesaidia

Sema wengi ni omba omba wa akili wanaamini kuna mtu atawaza badala yao
 
Una mawazp mazuri saana kuliko anayelalamika tu bila soln

Right woote walochangia wangekuja na constructive ideas
Ingesaidia

Sema wengi ni omba omba wa akili wanaamini kuna mtu atawaza badala yao
Hii nchi ndio maana hatuendelei.
 
Kwani zamani watoto wa masikini hawakusoma? Au nikuulize zile shule za vipaji mzumbe, kibaha,ilboru walikuwa wanaenda watoto wa matajiri pekee?
Walisoma bure. Magu foul alilipa mkopo? Bado huna la kuongea unatoka mapovu tu kama unaimba taarab. Jipange uje na point za kueleweka.
 
Back
Top Bottom