Hivi vidonge kweli ni viagra?

bi shostee

Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
36
Reaction score
69
nipo kwenye wakati mgumu kweli kweli baada ya kukuta hivi vidonge vimefichwa nimemuuliza akaniambia huwa ni viagra na alipewa na rafiki yake nashangaa siku za karibuni kabadilika na kunifanya sana bado sijaelewa kwa nn atumie haya mavidonge nimfanyeje huyu jamani?
 
Hivi vidonge vilileta mjadala mrefu sana hapa wiki mbili zilizopita, umevipata wapi? Huko ulikovitoa hakuna karatasi la ushauri? Mpaka umeviweka hapa inamaana si vyakwako, muulize mwenyewe ni vya nini.
 
Hivyo vidonge vya kuongeza nguvu wakati wa tendo la ndoa
 
kwani we ulikuwa hujui kuwa ni ARV's.............................................mwambie nawewe akuonyeshe sehemu anayochukua ili nawewe uanze dozi mapema kabla CD4 hazijashuka mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…