nitashukuru pia...Nitafanya hivyo
bana msamehe bure... Tafadhal⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️Ukiona I'd yangu kaa nayo mbali,nadhani unaelewa kitachofuatia sawa bwana mdogo
Wanawake hamueleweki.Muwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣
View attachment 2748516
Hao ndio tunawaambia waprone vizuri
Sio mfuge ndevu halafu msitafute hela.....suala la kutafuta hela lipo pale pale....jitahidi muwe navyo vyote kwa pamoja![]()
Mnatuchanganya sanaEndelea kuwasisitiza kwenye maokoto, ndevu bila pesa km Alshabab tu!!
Umeona enheee shogaangu....ndevu bila pesa tunakuona kama beberu tuEndelea kuwasisitiza kwenye maokoto, ndevu bila pesa km Alshabab tu!!
Bidii naifanya vizuri kwenye chapaa, salamu zinafika kama zilivyo. Japo amekua busy sana sasa hivi hatulii kila siku safariShemeji wewe upande wa kidevu hakuna mgogoro,hapa Kikubwa ongeza kutafuta chapaaukiongeza na mdogo wangu mwambie nimemmiss sana
Umeona enheee shogaangu....ndevu bila pesa tunakuona kama beberu tu

Hahaha my baby girl 😜🧒Muwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣
View attachment 2748516
Yes sweetheart 😚😆🤣🤣🤣unafukua makaburi sio?
Sijaelewa...Mkuu Joannah nimejaribu kukutumia message imegoma
Bhana Tembelea hako ka post chini ukafanye ubatizo kwenye reaction basi 😊
Post in thread 'Hivi videvu vya siku hizi' Hivi videvu vya siku hizi
Kwenye hiyo link niliyotuma nilikukosea ukani-dislike, sasa niko hapa mbele yako mkuu unisamehe kwakweli angalau nikose hata like nduguSijaelewa...