Kuna jamaa yangu alikuaga mtu wa club sana,aliwahi kunipa stori kuna siku mida ya tisa tisa night kali anatoka zake kuruka debe ile anakatiza mitaa fulani akakutana na katoto kama ka miaka minne hivi dogo aka muomba fegi jamaa hilo nduki lake si mchezo na pombe yote iliish.mpaka leo akienda club kurudi hadi kupambazuke kabisa.
Kigonsera sec school walikuwepo...
Vibwengo ni aina Ya Majini wanaopenda kutembea usiku na Vijinga vya moto
haswa pembezoni mwa bahari ni kweli Mashetani hawa wapo hswa katika miji yenye Bahari kwamfano Mji ya
Dar,Tanga na Mtwara
wanapatikana kwa wingi Mashetani wa aina hiyo ya Vibwengo. Na haswa wakati wa usiku kandoni kandoni
mwa ufukweni mwa bahari
unaweza kuwaona wakati wa usiku mwingi ukiwa wewe ni mtembezi mwa ufukweni mwa bahari kwa wakati
huo ni Mashetani
wanaopenda sana kuwachezea Wavuvi wakati wa usiku baharini. Wavuvi wengi wanawajuwa hao Mashetani
wa Vibwengo ni wafanyaji wa
vituko vingi nyakati za usiku haswa ukiwa baharini au ufukweni mwa bahari wanakujia na kijinga cha moto
kukuchezea akili yako na wanapenda sana kuwachezea binadamu Nyamuleha jr
Ukienda usiku kanisani hali ya kuwa una janaba (yaani umefanya ngono bila kuoga) utaviona tu!
Vinafanana sana na ile picha ya kadhungu iliokaa kama alama ya jumlisha.
Na mama Nyakageni ndio mfugaji pale Ujiji, kwa wapiga Gongo!
Teh teh teh!
A love you too.
Muulize dada Nyakageni hapo juu kwanini kaniita huku kwenye miungu ya wagalatia!
Ukienda pale kwenye kanisa la pengo karibu na baharini nyakati za usiku utavikuta vibwengo kwa uchache kama sita hivi.
Vina tabia ya kuvaa zile chupi za Kizamani za VIP! na misalaba kiunoni!
Hatari sana vile.
Mwingine alistuka usingizini akaona kibwengo kimelala pembeni yke;akarusha ngumi ikatua ukutani.Hakuweza kufanya shughuli yoyote kwa mwezi mzima kwa maumivu aliyoyapata.
Hahaha nmecheka sana hyo sentensi..
Kimsingi waTZ huwa hatuaminig mambo mpaka yatutokee,m nmewahi kusumbuliwa na vibwengo nilipokuwa nasoma HAPPY SKILFUL INTERNATIONAL SCHOOL,iliyopo tabata segerea..
Nilisumbuliwa sana kias kwamba usiku ukiingia tu napata hofu,had pale nilipo omba ruhusa shuleni na kurud nyumbn nikapelekwa kwa mganga tatzo likaisha kabsa..
Pamoja kamanda!
Lkn mara zote mi nachokozwa! We soma huko mwanzo utaona mwenyewe.
Mimi wagalatia mbona naishi nao miaka yote tu? Tatizo ni wale wavuta bange.
Hata Pengo nimeshakwenda nae Lunch siku moja. Muulize tu atakupa majibu.
ukitaka kuviona hivyo Vibwengo nenda usiku wa manane Kandoni kandoni mwa baharini kila ikifika usiku wa saa 8 au saa 9 usiku huwezi kufikisha siku 14 bila ya kuwaona na je ukiwaona utaweza kupambana nao? Swali gumu kujibika kazi kwako Utajibeba.Nipe mbinu za kuviona vibwengo face to face MziziMkavu.