Nyamuleha jr
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 185
- 65
Niliwahi kusikia wanafunzi huko masekondari zamani walikuwa wanaonaga wanyama flani kama binaadamu kama mashetani sasa naomba mwnye kuwafahamu au mwenye picha ya hao vibwengu aitupie eti hata wengine walipo lala walikabwa usingizi na hao vibwengu je hii ni myth au ni jambo la kweli
Tangu nipo mdogo nilikua naskia watu wanasema habari za vibwengo kua wana tabia ya kuwatokea wanadamu na kuwaletea mauza uza hasa baharini,sasa najiuliza huyo kiumbe ana umbo gani la mnyama au binadamu? au vibwengo ndio majini?
MziziMkavu et.al karibuni hapa mtoe darasa.