Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Maisha ni mipango na mipango ni maisha ya kila siku!,ushawahi kujiuliza ukifanikiwa kuowa na ukapata watoto je?ungependa watoto wako waishi maisha yapi?maisha bora ama bora maisha?
Umepanga kuwa na watoto wangapi na utawasaidia vipi kutimiza ndoto zao!?
Mtoto mmoja ili aishi vizuri bila chenga anahitaji laki mbili kwa mwezi[200,000tsh]
Ambayo kwa mwaka ni sawa na 2400000tsh!
Hadi mtoto mmoja akue vizuri hadi atimize miaka 18 unahitaji milioni 43 na laki mbili!
Wanaume tutafute pesa tuache ujingaujinga
Umepanga kuwa na watoto wangapi na utawasaidia vipi kutimiza ndoto zao!?
Mtoto mmoja ili aishi vizuri bila chenga anahitaji laki mbili kwa mwezi[200,000tsh]
Ambayo kwa mwaka ni sawa na 2400000tsh!
Hadi mtoto mmoja akue vizuri hadi atimize miaka 18 unahitaji milioni 43 na laki mbili!
Wanaume tutafute pesa tuache ujingaujinga