Samwel Jr
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 1,278
- 906
. 🐵🐵🤣🤣🤣 Kwahiyo ndoa ni utumwa?Naona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
. 🐵🐵🤣🤣🤣 Kwahiyo ndoa ni utumwa?Naona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
Wenye experience kwenye Maisha ya ndoa wafafanue.. 🐵🐵🤣🤣🤣 Kwahiyo ndoa ni utumwa?
Na wenzio walisema ivoivo tena walikuwa chuchu saa 6 sasa ivi ndalaa wakipiga deki yanasimama wakisimama yanalala😁😎Naona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
Haya...Na wenzio walisema ivoivo tena walikuwa chuchu saa 6 sasa ivi ndalaa wakipiga deki yanasimama wakisimama yanalala😁😎
Unajibu kwa busara Sana..hongera binti.Haya...
Hivi waambie wanaosema Nina utoto.Unajibu kwa busara Sana..hongera binti.
hapo ndipo mnapokosea wanawake hamjiamini.mnataka usiku na mchana hamtaki kusumbuka sababu ya udangaji wenu!!naapia kweli nimeishi sehemu nyingi lakini wanawake wa bongo nimewavulia chupi!!hata awe amechumbiwa na mo dewji we ukija kumtaka utampata na pete utamvalisha.mamaeee zenu mlaaniwe nyauuu nyiee
Mahaba Ni Surname yangu.Jina: Lily Mahaba
Umri: 20
Tunaweza kuanzia kwenye jina, huenda tukapata maana nzuri zaid na uelewa wa huyu mtoa mada...
Unamalengo na shule na future yako af still umeweza kutambua nn maana ya mahaba hadi kujipa jina la mahaba au mzazi wako anaitwa mahaba???
Wakipita wataiona.Hivi waambie wanaosema Nina utoto.
Wakipita wataiona.
😏😏Wakipita wataiona.
Nina sababu zingine pia.Ujana wa motooo mtoto anaogopa kuingia Ndoani kisa kuna utumwa huku penzi anatoa,sasa sijui kati ya hayo mawili upi ni utumwa kwake
Umeshazungumza na huyo mwenzi wako kuhusu swala la kutokuwa tayari kuolewa kwa sasa?Nina sababu zingine pia.
Bado,nataka nimweleze vizuri karibuni nisije nikamvunja moyo akanichukia.Umeshazungumza na huyo mwenzi wako kuhusu swala la kutokuwa tayari kuolewa kwa sasa?
Kumbe ndoa ni utumwaNaona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
Wanaume wengi tuna ugonjwa huo ni just HaliHahaha Mimi sitakuja vaa chupi aiseeh kipindi nipo yankiii nilikua navaaa ikanipindisha mashine mpaka Leo imeeelekea kushoto
hapo yupo ye yupo sahihii kuomba kukuoa umri unaruhusu,ila wewe ndo bado hujakua kama humpemdi mwambie tu wazi,kama unampenda na unatamani kuishi nae kama mke na mume pia mweleze na umwambie mipango yako kwamba haujawa tayari kuingia kwenye ndoa kwasababu hizi na hizi, angalau ungekua na 23 ningekushauri olewa tu .