Lillie Mie
Member
- Jul 2, 2020
- 97
- 176
Tatizo mwanaume akija na ombi la uchumba akiomba kukuvisha pete ilhali hauko tayari kwa ndoa, utamwambiaje hapana ili bado akuone malaika?
🤣🤣hapo ndipo mnapokosea wanawake hamjiamini.mnataka usiku na mchana hamtaki kusumbuka sababu ya udangaji wenu!!naapia kweli nimeishi sehemu nyingi lakini wanawake wa bongo nimewavulia chupi!!hata awe amechumbiwa na mo dewji we ukija kumtaka utampata na pete utamvalisha
Nikiwa tayari...Baada ya miaka 5 atakuja hapa na post mpya: "Nahitaji rafiki serious kuelekea kwenye ndoa...". Mabinti, mabinti...
Kwani ukiolewa kusoma huweziNaona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
Why don't you stay with him and talk clearly..?Naona wengine hamuelewi.Sio kuwa Ni tabia ya udangaji,Kama bado nasoma na najitafutatia Maisha mazuri mbona nikimbilie utumwa wa ndoa...
Nikiwa tayari...
Ndoa Ndoano!!Siwezi kukimbilia ndoa.
Nakaribia 20.Una miaka mingapi?
Kumaanisha?Ndoa Ndoano!!
hapo ndipo mnapokosea wanawake hamjiamini.mnataka usiku na mchana hamtaki kusumbuka sababu ya udangaji wenu!!naapia kweli nimeishi sehemu nyingi lakini wanawake wa bongo nimewavulia chupi!!hata awe amechumbiwa na mo dewji we ukija kumtaka utampata na pete utamvalisha.mamaeee zenu mlaaniwe nyauuu nyiee