Hivi unapima mtoto 'DNA' ili iweje?

Fortilo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
4,722
14,248
Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
 
Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
Maisha yako yanakuhitaji wewe bila kutegemea mtu mwingine. Sio waziri sijui mjumbe nk kuna watu wengine ni agents wa mafeminist japo kuwa wanavaa suruali kama wewe yaani wapo ili kumkandamiza mwanaume. Pindi unapo jilazimisha kubeba matatizo ambayo unayaona kabisa huku ni kujishusha daraja wewe kama mwanaume.


Hata wanyama tu mfano simba hawezi kuruhusu huo upumbavu period.

Pindi utakapo walea hao watoto nguvu zimekuisha unaambiwa asante kwa kuwalea na hao watoto wanaenda kuambatana na babazao wa damu ndio utajua hujui
 
Mbona umekata tamaa na maisha hivo mkuu inamaana huna ujanja kwa wanawake

Issue sio kukata tamaa.

Ngoja nikupe story kuhusu wachaga.
Zamani kidogo, kwa wachaga, mfano umezaa na mke wa mtu, hata mume wake akajua, huwez enda dai mtoto... na hakuna mtu atathubutu kuja kudai mtoto kwako,
Watu wa mtaani wanaweza wakajua kwamba mtoto ni wa mtu fulani, lakini ilikuwa sio issue ya kukataa mtoto.

Ikafika kipindi watu wanasema wachaga wanapenda sana watoto wao hadi leo, na sababu ni hizo hizo.

Na imefikq mahal nchi nzima watu wanadhani wachaga wote ni ndugu.. na sababu ni hiyo hiyo.
Badili mtazamo wako mkuu.
 
Kila mtu aishi kwa mtazamo wake anao uona ni sawa acheni kupangia watu ni namna gani waendeshe maisha yao.

Ww kama unaona ni sawa kwa mwanamke kwenda kufanya uzinzi huko alafu akakuletea uchafu wa bimba alio upata kwenye uzinzi wake baki nao ww usirazimishe kila mtu awe na mtazamo wako.
 
Issue sio kukata tamaa.

Ngoja nikupe story kuhusu wachaga.
Zamani kidogo, kwa wachaga, mfano umezaa na mke wa mtu, hata mume wake akajua, huwez enda dai mtoto... na hakuna mtu atathubutu kuja kudai mtoto kwako,
Watu wa mtaani wanaweza wakajua kwamba mtoto ni wa mtu fulani, lakini ilikuwa sio issue ya kukataa mtoto.

Ikafika kipindi watu wanasema wachaga wanapenda sana watoto wao hadi leo, na sababu ni hizo hizo.

Na imefikq mahal nchi nzima watu wanadhani wachaga wote ni ndugu.. na sababu ni hiyo hiyo.
Badili mtazamo wako mkuu.
Mtu akizaa na mkeo kisheria sio mtoto wako kwa mujibu wa sheria baba anaye tambulika ni baba halisi aliye mzaa mtoto.

Ina maana huyo aliye zaa na mkeo akienda mahakama kudai mtoto wake itaamuliwa ipimwe DNA akipimwa na akabainika ni mtoto wake wa kumzaa utanyanganywa huyo mtoto na hitokuwa na mamlaka naye.
 
Wakuu Salam,

Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.

Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua vip kwamba baba ako ndio ni baba yako kweli?
Angepima DNA ingekuwaje, jamaa kaniletea blah blah za Habari ya vitabu vya dini, nikaudhika sana.

Nimemwambia kuliko amdhalilishe mtoto hivyo amlete kwangu nitalea bure, ila asikae aulize chochote kuhusu huyo mtoto.

Nimeamini waafrica dini zimewapoteza sana, kwamba aidha hawaelewi mafundisho au na walimu wa dini hawajui kitu wanachofundisha.

Kuna kabila moja mkoa wa Mara hawakatai watoto na watoto wakizaliwa ni wakwako... sasa sijui huu Usasa unatoka wapi.

Nataka niwashaur wanaume wenzangu, wewe ni provider tu, kwenye mahusiano ya familia, na ndio maana watoto wakikua kila mtu anachukua time zake na nyie mnabak wenyewe.

Kingine, watoto sio mali kama nyumba au gari au pesa kwamba unaweza miliki na kwamba the property is yours for use.

Na ndio maana huwez na wala huhitajiki popote kuthubitsha kama mzaz ni wako au sio wako.

Ndugu zangu waafrika na hasa vijana, acheni huu ushamba wa kutaka kutesa watoto wasio na dhambi kwa taamaa zenu za kudhan watoto ni kitu cha mchezo... nileteeni nitawaelea.

Sasa swali langu, unataka kupima mtoto DNA ili iweje? Hujasikia watoto wakiwakataa wazaz wao hadharani? Tena wamefanana kama mayai?

Kuna wazir mmoja kipindi cha mwendazake alisema sisi ni social fathers tu...... na mimi nakubali.

Huyu ndugu yangu asiponikisikliza mawasilano na mimi ndio kwisha kabisa.
Naunga mkono hoja
 
Mtu akizaa na mkeo kisheria sio mtoto wako kwa mujibu wa sheria baba anaye tambulika ni baba halisi aliye mzaa mtoto.

Ina maana huyo aliye zaa na mkeo akienda mahakama kudai mtoto wake itaamuliwa ipimwe DNA akipimwa na akabainika ni mtoto wake wa kumzaa utanyanganywa huyo mtoto na hitokuwa na mamlaka naye.
Unadhani ipo practical hivyo mkuu?
 
Unadhani ipo practical hivyo mkuu?
Ni rahisi mno tofauti na unavyo fikiri labda mwenye mtoto awe hajaamuwa tu.
Mm kwa upande wangu siwezi mpima mtoto DNA kwa sababu kwanza huo muda na gharama za kufanya hivyo sintakuwa navyo lakini vikitokea viashilia vya wazi vinavyo onesha kuwa huyo mtoto sio wangu kwakweli siwezi kuvumilia upumbavu namtimua huyo malaya na mtoto wake.

Mwanamke uliye mtolea mahali ukamuoa na unashinda juani kumuhangaikia yeye ale na avae vizuri, alale pazuri alafu akaenda kubeba mimba ya mtu mwingine na uenyewe ana kuletea ndani ya nyumba yako na yenyewe ulee hali yakuwa na ww una uwezo wa kuzalisha aisee hiyo ni dharau ya kiwango kisicho elezeka.
 
Back
Top Bottom