Hivi unaoaje mwanamke kama huyu?

Hivi unaoaje mwanamke kama huyu?

Kama atakuwa ananukia vizuri maeneo yote,hakuna shida...nadhani anaweza kuwa mtamu zaidi kwenye yale mambo
 
Si angeacha hata kidole kimoja kwa ajili ya kutawadha...... sasa anatawazaje na hiyo mijikucha na anasafishaje papuchi akichororooo
Watu mna shiida kweli kweli. Kwetu wanasema; Tembo hula majani yenye miiba mingi sana kiasi kwamba, ukikanyaga kinysi cha tembo ukiwa mbioni waweza patwa na kilema kwa miiba yake. Jiulize, huyo aliyekitoa hicho kinyesi (Tembo) kilitokaje? Mbona hakikutoka na damu?
Usiulize tu kuwa ati; Anatawazaje??!! Nenda mtafute mmoja halafu uzame chumvini ndipo utalipata jibu lako.
 
Sasa anavyojisafisha Mkuu unataka awe anajirekodi, bilashaka atakuwa mtu mzima mwenye akili timamu

na atakuwa na njia yake ambayo anaitumia kujisafisha si kweli kwamba kwa sababu ya kuweka hizo kucha atakuwa hajisafishi
[emoji41]usikute hata hapendag chooni.
 
Nikajua utasema ni chukizo mbele ya Mungu wake kumbe ni chukizo mbele ya mume wake? Kwani mume wake ni nani?
 
Watu mna shiida kweli kweli. Kwetu wanasema; Tembo hula majani yenye miiba mingi sana kiasi kwamba, ukikanyaga kinysi cha tembo ukiwa mbioni waweza patwa na kilema kwa miiba yake. Jiulize, huyo aliyekitoa hicho kinyesi (Tembo) kilitokaje? Mbona hakikutoka na damu?
Usiulize tu kuwa ati; Anatawazaje??!! Nenda mtafute mmoja halafu uzame chumvini ndipo utalipata jibu lako.
unataka kujifananishana tembo si ndio.....
 
Ingawa ni za kunadika,ila mwanamke ambae ni wife material na anayejielewa hawezi kubadika mauchafu kama haya,ni xhukizo mbele ya mume wake.View attachment 1158956View attachment 1158958
Mwanamke wa hivi ni liability, an i hate liabilities. Mwanamke productive na mwenye akili hawezi weka mikucha bandia mirefu kama jini.
Tatizo dada zetu wanawaiga celebrities, akati wenyewe hiyo ndio kazi yao na wakirudi behind the cameras wanamaisha ya kawaida kabisa. Sasa mtu 99% ya shughuli zake ni physical alafu anaweka makucha hayo, huyu lazima atakua hana akili.
 
unataka kujifananishana tembo si ndio.....
Soma taratiib andiko langu. Nimemjibu muuliza swali kuwa; Usijiulize kuwa mwanamke ka huyu anatawazaje? Nenda kaufanye huo utafiti mwenyewe kwani wapo wengi tu mtaani wa jinsi hiyo.
 
To be honest huo ni uchafu ndani ya nyumba. Tena wife material never behave like majini na how do you enjoy with this faken shit.
 
Mkuu usipoteze muda na kuangaisha Bongo yako wewe usioe wa aina hiyo achana nao,

Wenzio wanaoa ndiyo tulivyotofautiana ukizielewa tofauti zetu kama watu wenye fikra tofauti mitazamo tofauti huwezi kupata tabu

Pia hiyo picha yako so far mbona ni urembo na amependeza kweli, kwa wanawake kwao urembo ni sehemu ya maisha yao Mkuu
Kwa majibu hayo huu uzi uishie hapa
 
Huyo huwezi kumuoa kama unatumia jiko la kuni au mkaa, unachota maji kwa mwenyekiti wa mtaa na inambidi apande daladala kwenda Kariakoo
Utakuja univunje mbavu next time[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom