[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Xhukizo~ chukizo
We unadhani kuna mwanamke atakubali kuolewa na mwanaume hajui tumia herufi vizuri??
Huko wanaita kuishi kwa hisia kuona mwenzio anateseka au anafaidi ili hali hajakwambia lolote, kujipa pressure zisizo hitajika wakati mwingine ni ushamba wa maishaDefinitely ukiwa unaishi kwa kupangia watu machaguo lazima uwe, unapata stress tu hakuna cha zaidi
Afanye lile ambalo linampa amani kwenye nafsi yake
Haaa haaaAnaweza siku akajakutupangia tusioe kama huyo cute b wa kwenye avatar sababu kavaa nguo hiyo fupi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Xhukizo~ chukizo
We unadhani kuna mwanamke atakubali kuolewa na mwanaume hajui tumia herufi vizuri??
[emoji16][emoji16][emoji16]ad kujisafisha mku-ndugu yangu
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Wow zimepenseza na zinavutia haswaaa[emoji108][emoji108]
Kudadisi muhimuNi vizuri kila mtu akomae na size yake.
Na huo ndio upendo wa kweli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hapo limbwata limehusika sio bureMbele na nyuma baada ya haja zake ndogo na kubwa unamsafisha mwenyewe... yeye kazi yake ni kuegesha tuu...
Cc: mahondaw
Atapangia wote lakini sio wewe[emoji23][emoji23][emoji23].Anaweza siku akajakutupangia tusioe kama huyo cute b wa kwenye avatar sababu kavaa nguo hiyo fupi
Mimi hapana kwa kweli.Wewe je ?
Mimi hapana kwa kweli.
Ila wanaopenda wana haki ya kufanya hivyo.