Wanaume wafupi hawana gubu ww😀Gubu lao usipime
Nilishakutwa, visirani km wajawazito, kupenda wanajua ila sasa mkipiga story ukacheka sana ni tatizo, ukimtizama tatizo, kununiwa ovyo,😂😂😂mbona nilikomaWanaume wafupi hawana gubu ww😀
Hahahaaa eti ukicheka sana tatizo.Nilishakutwa, visirani km wajawazito, kupenda wanajua ila sasa mkipiga story ukacheka sana ni tatizo, ukimtizama tatizo, kununiwa ovyo,😂😂😂mbona nilikoma
Wewe mwenyewe unagubu,bisha ni kuaibishe leoNilishakutwa, visirani km wajawazito, kupenda wanajua ila sasa mkipiga story ukacheka sana ni tatizo, ukimtizama tatizo, kununiwa ovyo,😂😂😂mbona nilikoma
😂😂Nilijionea maajabuHahahaaa eti ukicheka sana tatizo.
Wa kuniaibisha sijamuona,,Wewe mwenyewe unagubu,bisha ni kuaibishe leo