CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
- Thread starter
- #161
DocJayGroup,
Hivi unahofia biashara ya jenereta la 1M na kabati la 250,000 au mziki wa 700,000 unaziona hizo ni hela kubwa sana kwenye biashara? Unajua bei ya Boda Boda naongelea Boxer 125 au 150 bei yake unaijua ni Tsh ngapi?
Kama hujui hizo pikipiki bei yake ni 2M and above lakini anapewa mtu aende nayo popote alete hesabu usiku,unafikiri yule anaetoa pikipiki haogopi kuibiwa hiyo pikipiki?
Pikipiki sio kama jenereta wala kabati ni chombo cha mafuta kinatembea ambacho kufumba na kufumbua mtu anaweza kimbia nayo ukamkuta kashatokea Mwanza na ulimkabidhi pikipiki mkiwa Morogoro. (utampatia wapi)
Kama huwezi kukubali kupoteza huwezi Kufanikiwa kuingiza ktk maisha yako yote,The higher the risk the Higher the income.
Hivi unahofia biashara ya jenereta la 1M na kabati la 250,000 au mziki wa 700,000 unaziona hizo ni hela kubwa sana kwenye biashara? Unajua bei ya Boda Boda naongelea Boxer 125 au 150 bei yake unaijua ni Tsh ngapi?
Kama hujui hizo pikipiki bei yake ni 2M and above lakini anapewa mtu aende nayo popote alete hesabu usiku,unafikiri yule anaetoa pikipiki haogopi kuibiwa hiyo pikipiki?
Pikipiki sio kama jenereta wala kabati ni chombo cha mafuta kinatembea ambacho kufumba na kufumbua mtu anaweza kimbia nayo ukamkuta kashatokea Mwanza na ulimkabidhi pikipiki mkiwa Morogoro. (utampatia wapi)
Kama huwezi kukubali kupoteza huwezi Kufanikiwa kuingiza ktk maisha yako yote,The higher the risk the Higher the income.