Tupo pamoja sana mkuu ,kazi yangu ni kuokoa nafsi walau 1 tu.
Kuna mafundi wengi wanajua kuchomelea, na hawana mashine zao binafsi. Ukiwa na mashine ya kuchomelea ya kukodi, watakuja kukodi. Suala kama nilivyosema ni uaminifu na mafundi wenyewe ndio tunawajua uswahili kibao.
SAFI KABISA,Kwa hio sawa. Fanya kama mwandishi alivyoshauri ila jua kwa asilimia kubwa, kama hautapata suluhisho ya hizo challenges nimezisema hapo LAZIMA MTAJI WAKO UTAUPOTEZA NA PIA BISHARA ITAFELI Tu. Simaanishi kuwa negative. Huo ni uhalisia tu. Mimi na experience kubwa tu katika kufanya investment Tanzania. Kwa hio sio kwamba nasema tu. Naandika kutokana na ujuzi wangu.
HII NCHI INAHITAJI WATU WASIOZUNGUKAZUNGUKA KAMA NYINYI-Eti biashara mimi bado sana?? Usinifurahishe. Nina lodge ya wageni. Nina kampuni ya utalii. Na studio ya media production. Na nina mpango wa kuanzisha kampuni ya ujenzi/ construction. Kwa hio usiseme eti sina uzoefu. Nimefanya business tokea 2003. Nimefanikiwa sehemu na sehemu, pia nimefeli sehemu na sehemu. Kufeli au kushindwa ndio kunakupa mafunzo na uzoefu.