HIVYO VITU BORA UNIUZIE TU,Nakodisha Laptops na Printer
Ni kweli ni nzuri ila hapa mtu aliye ajiriwa hawezi fanya hiyo biashara ya CDKuna biashara moja
zile biashara za kukodisha CD uswahilini watu wanadharau ila zinatoa sana hela,biashara flan ya kilofa ila mpunga unaingia mno
Kwa waajiriwa ni kweli kuna ugumu mwingi sana,ila kwa vijana wasio na ajira hiyo kaz inawafaaNi kweli ni nzuri ila hapa mtu aliye ajiriwa hawezi fanya hiyo biashara ya CD
kufatilia CD flani imetoka au haijatoka,kufatilia miendelezo ya CD yani ni ngumu
CD ni biashara inayomuhitaji muhusika BOSS full time awepo kazini ajue wateja wanataka nn
Kwa waajiriwa haiwafai hiii ila ni safi sanaa.
Mwaka wa 4 nakodisha kwenye mikutano mingi inafanyika Whitesands na Ramada. No biashara nzuri Sana uki-deal na Corporates