Hivi unajua kitamu

wengine mnaharibu mada vitendo vyote vinaanziwa na k,muanzisha mada anazungumzia vitu.:focus:
 
WanaJF sinauhakika kama ilishawah kupita hapa hv unajua vitamu vyote vinaanziwa na herufi K
- Keki
- Kababu
- Kachori
- Koni
- Kulala
Bila kusahau ninachojua unacho kiwaza na sio kingine ni KUKU

Aisee wewe mkare.....umejuaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom