Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 3,562
- 6,119
Hivi umewahi kusikia kuwa hisia huambukizwa
Ndio,
Hisia huambukizwa.
Unadhani kwanini,
Ukipokea simu ya taarifa mbaya
Mzuka unaharibika?
Yes,
Unakuwa umeingia kwenye frequency ya
hisia husika na automatically,
utabehave kwa level hiyo.
Na hivi ndivyo.
Hisia huambukizwa.
Ndo maana, watu wengi waliolelewa na watu wenye hasira hasira,
Wanajikuta wamebeba baadhi ya mambo hayo.
Nitakupa mfano mmoja:
Kama una-date na mtu ambae ni moody,
Yaani…
.
Jambo dogo kanuna,
.
Jambo dogo haongei,
.
Jambo dogo umeblokiwa,
.
Jambo dogo hupati mzigo,
.
Jambo dogo lazima ujieleze.
.
Jambo dogo utaomba msahama mwezi mzima.
Hawa watu waliojaa hasira na huzuni usoni,
Watakuambukiza maisha yao.
Na kama kila siku unalala nao na kuamaka nao,
Ndo unawaona wao zaidi.
UTAFANANA NAO KIHISIA.
Watakuambukiza.
Nakupa mfano mwingine:
Unaweza ukawa na siku nzuri kabisa.
Lakini ukipigiwa simu na mwenza na akamind,
Kwa jambo lolote lile,
Siku yako inaweza kuwa imeharibikia hapo.
HISIA NI AMBUKIZI.
Sasa imagine wewe umeoa au kuolewa na moody na sadist.
Hapo sasa kimbembe.
Kama mwenza wako yeye muda mwingi kanuna,
Yaani muda mwingi hata hujakosea lakini,
Hamuongei nyumbani.
Hapo na wewe taratibu siku zako zinaanza kuwa za huzuni kwa sababu,
Unaathiriwa na hisia na mtu unaeishi nae.
Epuka sana kudate na moody au morose.
Kwepa, ni aheri kuwa single.
Utaharibu furaha ya maisha yako bure.
Hata ukiwa strong vipi,
Atakuja na to mood zake na atakuharibia siku.
Tunza muda na energy yako.
Chagua watu wanaokupa,
Positive energy maishani.
Ukiwa na mtu anaekupa hisia za:
Furaha,
.
upendo,
.
mafanikio,
.
tumaini,
.
ushindi,
Na wewe utakuwa mtu wa furaha, amani na upendo.
Narudia tena.
Hisia huambukizwa.
Ogopa kudate na moody,
Atakuambukiza huzuni.
Linda Muda na Energy yako.
You derseve better.
#Credit Millambo from X there
Ndio,
Hisia huambukizwa.
Unadhani kwanini,
Ukipokea simu ya taarifa mbaya
Mzuka unaharibika?
Yes,
Unakuwa umeingia kwenye frequency ya
hisia husika na automatically,
utabehave kwa level hiyo.
Na hivi ndivyo.
Hisia huambukizwa.
Ndo maana, watu wengi waliolelewa na watu wenye hasira hasira,
Wanajikuta wamebeba baadhi ya mambo hayo.
Nitakupa mfano mmoja:
Kama una-date na mtu ambae ni moody,
Yaani…
.
Jambo dogo kanuna,
.
Jambo dogo haongei,
.
Jambo dogo umeblokiwa,
.
Jambo dogo hupati mzigo,
.
Jambo dogo lazima ujieleze.
.
Jambo dogo utaomba msahama mwezi mzima.
Hawa watu waliojaa hasira na huzuni usoni,
Watakuambukiza maisha yao.
Na kama kila siku unalala nao na kuamaka nao,
Ndo unawaona wao zaidi.
UTAFANANA NAO KIHISIA.
Watakuambukiza.
Nakupa mfano mwingine:
Unaweza ukawa na siku nzuri kabisa.
Lakini ukipigiwa simu na mwenza na akamind,
Kwa jambo lolote lile,
Siku yako inaweza kuwa imeharibikia hapo.
HISIA NI AMBUKIZI.
Sasa imagine wewe umeoa au kuolewa na moody na sadist.
Hapo sasa kimbembe.
Kama mwenza wako yeye muda mwingi kanuna,
Yaani muda mwingi hata hujakosea lakini,
Hamuongei nyumbani.
Hapo na wewe taratibu siku zako zinaanza kuwa za huzuni kwa sababu,
Unaathiriwa na hisia na mtu unaeishi nae.
Epuka sana kudate na moody au morose.
Kwepa, ni aheri kuwa single.
Utaharibu furaha ya maisha yako bure.
Hata ukiwa strong vipi,
Atakuja na to mood zake na atakuharibia siku.
Tunza muda na energy yako.
Chagua watu wanaokupa,
Positive energy maishani.
Ukiwa na mtu anaekupa hisia za:
Furaha,
.
upendo,
.
mafanikio,
.
tumaini,
.
ushindi,
Na wewe utakuwa mtu wa furaha, amani na upendo.
Narudia tena.
Hisia huambukizwa.
Ogopa kudate na moody,
Atakuambukiza huzuni.
Linda Muda na Energy yako.
You derseve better.
#Credit Millambo from X there