Hivi ukitoa NBCPL, Azam TV wana nini kingine?

Hivi ukitoa NBCPL, Azam TV wana nini kingine?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,505
Kama channel za movie ni chache Sana, Cinema zetu yenyewe kuna kipindi ilikua nzuri walikua wanaweka single movie nzuri kuanzia asubuhi Hadi usiku, usiku ndio walikua wanaweka tamthilia za Kiswahili, lakini sasahivi ni kutwa nzima wanaweka tamthilia ambayo nzuri ni moja tuu.

Ukitoa Mpira wa kibongo startimes NI Bora kuliko Azam TV

NI wakati sasa wa kununua DSTV au STARTIMES.

Wenye DSTV vipi na huko? Au nihamie STARTIMES??
 
Kama channel za movie ni chache Sana, Cinema zetu yenyewe kuna kipindi ilikua nzuri walikua wanaweka single movie nzuri kuanzia asubuhi Hadi usiku, usiku ndio walikua wanaweka tamthilia za Kiswahili, lakini sasahivi ni kutwa nzima wanaweka tamthilia ambayo nzuri ni moja tuu.

Ukitoa Mpira wa kibongo startimes NI Bora kuliko Azam TV

NI wakati sasa wa kununua DSTV au STARTIMES.

Wenye DSTV vipi na huko? Au nihamie STARTIMES??
Ukitoa mpira, Azamtv inasikitisha sana.
Hawana channel za maana, wanaokota machanel ya bure ambayo yanapatikana bure hata ukitumia madishi unapata bure wao wanauza
Emmanuel TV, Peace na zingine hizi hupatikana bure ila wao wanauza
 
Ukitoa mpira, Azamtv inasikitisha sana.
Hawana channel za maana, wanaokota machanel ya bure ambayo yanapatikana bure hata ukitumia madishi unapata bure wao wanauza
Emmanuel TV, Peace na zingine hizi hupatikana bure ila wao wanauza
Wewe sasa ndio umeongea ukweli, ukitoa league ya bongo startimes Wana channel nzuri kuliko azam
 
Kuna wafcon
Fifa club world cup
Taifa cup(basketball)
Job vs Kibwana
Vitasa live
Viwanjani live
Mshike mshike
MBC na MBC Max
 
Nimeshasema hapo, tamthilia NI moja tu, nyingne hamna kitu, Yani unalipia elfu28 Kwa ajili ya kobisi tuu na NBC? Kama hivi msimu WA Mpira imeisha unabak na kikala ausio
Mkuu kuna movies,documentaries na ligi nyinginezo nje ya NBCPL Kama MLS,Jupiler Pro,Carabao nk
 
Wewe sasa ndio umeongea ukweli, ukitoa league ya bongo startimes Wana channel nzuri kuliko azam
Azam anauza kwasababu ya mpira ila ukitoa mpira ukaweka Azam na Startimes. Startimes atauza kuliko Azamtv.
BBC, CCN, Al jazeera, ESP, KBC, n.k haya yote ni bure, aweke channel maana ambazo utaangalia hata movies, mpira, documentary, muziki. Kwenye channel za muziki Azamtv ndiyo utacheka
League ikiisha Azamtv kulipia 28 ni matumizi mabaya ya hela
 
Kuna wafcon
Fifa club world cup
Taifa cup(basketball)
Job vs Kibwana
Vitasa live
Viwanjani live
Mshike mshike
MBC na MBC Max
MBC, MBC Max na Action ni channel za kawaida sana. Ukiwa na dishi za kawaida unazipata
 
Back
Top Bottom