zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Habari zenu JF!
Mapenzi yamechukua nafasi kubwa kwenye maisha yetu. Japo mapenzi yanaweza kuwa ya dhati au sio ya dhati.
Je, unafikiri ukiacha pesa wanaume wana cha ziada cha kuiteka akili ya mwanamke?
Na kwa wanawake ukiacha ngono (sex) wana cha ziada cha kuiteka akili ya mwanaume?
Love Is not all about sex. Wala love is not all about money.
Ila sikuhizi eti usipokuwa na pesa yaani usubiri zile "sikutaki" nyingi na zile "Utanipa nini" za kutosha
Kwa hiyo wasio na pesa hatupati penzi hata kwa ncha ya upanga na mapenzi hayako kwa ajili yetu tukaushie au tujikaze
Mapenzi yamechukua nafasi kubwa kwenye maisha yetu. Japo mapenzi yanaweza kuwa ya dhati au sio ya dhati.
Je, unafikiri ukiacha pesa wanaume wana cha ziada cha kuiteka akili ya mwanamke?
Na kwa wanawake ukiacha ngono (sex) wana cha ziada cha kuiteka akili ya mwanaume?
Love Is not all about sex. Wala love is not all about money.
Ila sikuhizi eti usipokuwa na pesa yaani usubiri zile "sikutaki" nyingi na zile "Utanipa nini" za kutosha
Kwa hiyo wasio na pesa hatupati penzi hata kwa ncha ya upanga na mapenzi hayako kwa ajili yetu tukaushie au tujikaze